mseseve
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 511
- 89
kweli maisha kama ndio haya,hatuwezi ishi DSM Laki 6?
kweli maisha kama ndio haya,hatuwezi ishi DSM Laki 6?
hapo hakuna kulilia?Na hakuna maongezi.
inavyo onekana watu wa DSM wanapesa mingi sana,sema starehe ndio zinawaumiza,laki 6?Hapo bado hujamlipa dalali laki sita yake.
yaani mtu usipojenga while upo single..ukishaleta na watoto2 nurserytu laki mbili tatu kwa mwezi,ujue ishakula kwakoDar es salaam ndio expensive city in east africa kukodi nyumba,,, na hapo bado tunapoelekea tutatafutana mbona
Dar es salaam ndio expensive city in east africa kukodi nyumba,,, na hapo bado tunapoelekea tutatafutana mbona
bado umeme na mlinzi,housegirl na gari chezeiya bongoinavyo onekana watu wa DSM wanapesa mingi sana,sema starehe ndio zinawaumiza,laki 6?
bado umeme na mlinzi,housegirl na gari chezeiya bongo
kila siku ni sikukuu
kwa wauza sura tu hukoUsiogope pedeshee nipo nitalipa...nani asiyetaka kuishi Sinza kwa Wajanja