Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nyumba ya vyumba 3, yenye master bedroom 1, choo cha ndani, dinning, sitting na jiko. Kila chumba kina kabati la nguo.
Inapangishwa Kisota, Kigamboni, kilometa 8 kutoka Feri ( kilometa 6 Feri-Maweni, Kilometa 2 Maweni-Kisota), ina umeme (Luku) na maji. Pia kuna water reserve tank.
Imo ndani ya compound pamoja na nyumba nyingine. Usalama wa kutosha.
Mawasiliano: 0787377511/0719055711
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapangishwa Kisota, Kigamboni, kilometa 8 kutoka Feri ( kilometa 6 Feri-Maweni, Kilometa 2 Maweni-Kisota), ina umeme (Luku) na maji. Pia kuna water reserve tank.
Imo ndani ya compound pamoja na nyumba nyingine. Usalama wa kutosha.
Mawasiliano: 0787377511/0719055711
Sent using Jamii Forums mobile app