Nyumba inapangishwa Jijini Mwanza

Nyumba inapangishwa Jijini Mwanza

Kumbe Mwanza ni mji wenye maisha rahisi sana, Nyumba ina geti, fence, vyumba vya kumwaga, umeme, maji, tiles, madirisha ya alluminium, parking na rangi kwa bei ya 250,00 kwa mwezi ???
Sasa huko chumba uswahilini si itakua sh 10,000 tu.

Nahamia Mwanza
 
Kumbe Mwanza ni mji wenye maisha rahisi sana, Nyumba ina geti, fence, vyumba vya kumwaga, umeme, maji, tiles, madirisha ya alluminium, parking na rangi kwa bei ya 250,00 kwa mwezi ???
Sasa huko chumba uswahilini si itakua sh 10,000 tu.

Nahamia Mwanza

jangwani, manzese chumba bei gani kwa mfano.
 
Kumbe Mwanza ni mji wenye maisha rahisi sana, Nyumba ina geti, fence, vyumba vya kumwaga, umeme, maji, tiles, madirisha ya alluminium, parking na rangi kwa bei ya 250,00 kwa mwezi ???
Sasa huko chumba uswahilini si itakua sh 10,000 tu.

Nahamia Mwanza

Ha ha haaa,karibu sana mwanza kiongozi wangu
 
Habari wakuu,

Nyumba inapangshwa jijini Mwanza ina rooms tatu ikiwemo master room,dinning,pamoja na jiko pia imezungushiwa fensi bei ni 3mil kwa mwaka.

More infomation njoo PM

Mbushuu! Mawasiliano yako vipi!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom