Kumbe Mwanza ni mji wenye maisha rahisi sana, Nyumba ina geti, fence, vyumba vya kumwaga, umeme, maji, tiles, madirisha ya alluminium, parking na rangi kwa bei ya 250,00 kwa mwezi ???
Sasa huko chumba uswahilini si itakua sh 10,000 tu.
Nahamia Mwanza
Kumbe Mwanza ni mji wenye maisha rahisi sana, Nyumba ina geti, fence, vyumba vya kumwaga, umeme, maji, tiles, madirisha ya alluminium, parking na rangi kwa bei ya 250,00 kwa mwezi ???
Sasa huko chumba uswahilini si itakua sh 10,000 tu.
Nahamia Mwanza
jangwani, manzese chumba bei gani kwa mfano.
Habari wakuu,
Nyumba inapangshwa jijini Mwanza ina rooms tatu ikiwemo master room,dinning,pamoja na jiko pia imezungushiwa fensi bei ni 3mil kwa mwaka.
More infomation njoo PM