specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 619
- Thread starter
- #21
Nakuelewa sana mkuu ila ishu hapo ni kujibana kujenga hata vyumba viwili mkuu kuanzia maishaUnafikiri hatupendi kujenga kaka, hali sio kabisa yaani. Tunapenda sana kujenga.
Ila saa ingine wapangishaji wanakera sana, inakuwa kama bwenini sekondari bwana
Na hata hivyo kaka tukisema wote tujenge madalali mtafanyaje sasa? Mtabadili biashara au.....