Nyumba inapangishwa; 100,000

Nyumba inapangishwa; 100,000

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
Nyumba inapangishwa bei tajwa hapo juu.
Sifa za Nyumba:
-Vyumba vitatu; kimoja master
-Public toilet
-Tiles
-Gypsum board
-Dinning; sitting na jiko.
-Vioo
-Umeme bado
-Haina uzio
-Ipo Freetown njia ya mpigi magohe
Kodi kuanzia miezi minne; utatumia tank langu la maji kwa kuanzia
20170625_170555.jpg
20170625_170555.jpg
 
Poa mkuu.

Kumbe bado hujapata mteja ee
 
[QUOTE="Tomahawk, post: 21967729, member: 284225bei atizo haina umeme[/QUOTE]
Nakubali; ila ndio nafatilia
 
[QUOTdogo ovason, post: 21970307, member: 367829"]Weka maji weka umeme ndiyo utangaze[/QUOTE]
Kuna dogo ananichekia pale sio mtunzaji wala sio msafi ndio nataka kumtoa. Umeme ndio nafatilia; maji serikali imeanza mchakato kule
 
[QUOTdogo ovason, post: 21970307, member: 367829"]Weka maji weka umeme ndiyo utangaze
Kuna dogo ananichekia pale sio mtunzaji wala sio msafi ndio nataka kumtoa. Umeme ndio nafatilia; maji serikali imeanza mchakato kule[/QUOTE]

Nyumba haina Umeme wala maji laki moja? Duh......
 
Hebu jamani tuweni makini basi.
Yani great thinkers unawaambia nyumba isiyo na umeme na maji laki 1!!!!!
Kweli kwenye msafara wa mamba kenge hawakosi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom