mtanzalendo
Member
- Aug 29, 2014
- 74
- 121
NYUMBA ya kupanga mjini Iringa inahitajika haraka sana. Sifa zake ni vyumba viwili na sebule kimoja. Nyumba iwe kati ya Wilolesi , Lugalo, Kihesa , Mkwawa, Gangilonga , Ilala ,Frelimo, Makorongoni ama Mshindo Kodi yake isizidi zaidi ya 200,000 kwa mwezi mteja anataka kulipa kodi ya miezi mitatu kwa mara moja au miezi 6.
iwe kwenye muonekano mzuri ndani ya geti na ijitegemee.
Angalizo: hatuhitaji dalali tunataka mwenye nyumba mwenyewe kuwasiliana nasi. kama una nyumba yenye sifa hizo wasiliana kwa PM.
iwe kwenye muonekano mzuri ndani ya geti na ijitegemee.
Angalizo: hatuhitaji dalali tunataka mwenye nyumba mwenyewe kuwasiliana nasi. kama una nyumba yenye sifa hizo wasiliana kwa PM.