Nyumba ina mauzauza

Nyumba ina mauzauza

Una historia ya kutumia ile kitu wanaitanga sativa(bange)? Na umewahi piga mistari mingapi(aka pafu) maana mstari mmoja wadau wanasema ni miaka 10
 
Hizo ni Hallucinations. Dalili za mtu anayeanza kuvuta bangi
 
Aisee mkuu karipoti polisi usizubae wakati singasinga yuko busy kupanga mipango ya kula kabang
 
Pole sana nwana, hayo mambo yapo labda kama hayajakutokea ndio unaweza kufikili ni mzaha. Mwambie mzee atafute ntaalam aje apasafishe maana italeta madhara makubwa kwenye biashara, hamtapata wapangaji na hata kuiuza itakuwa ni issue.
 
Haya mambo ya Mauzauza huwa nayasikia, kwa kweli sijawahi kukumbana nayo.

Nina ushahidi kuna nyumba moja ya kienyeji naifahamu, huwa haipangishwi, wala hakuna watu wanaoishi, na inaogopewa, na hakuna hata mtu mmoja anaeingia.

Watu wanadai ile nyumba ina Mauzauza, ndio maana inaogopewa.

Hapa ndipo ninaposhindwa kuelewa kabisa, ni uoga wa watu?!

Au pengine Nyumba ina mgogoro?!

Kwa kweli nashindwa kabisa kuelewa
 
Back
Top Bottom