Nyumba ina mauzauza

Nyumba ina mauzauza

fareed uziel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
665
Reaction score
720
Habari wakuu,

Poleni kwa kazi la kulisongesha mbele taifa na natumaini ni wazima wa afya.

Tatizo langu ni hivi,

Tuna nyumba yetu maeneo ya Mwananyamala ambayo hua tunapangisha. Mwaka 2013 mwezi wa kumi tulipata mpangaji singasinga (wale wahindi wanaovaa vilemba) ambaye alipanga.

Sasa mwezi wa nane huu mwishoni alihama na kutuachia nyumba pia alichimba kisima kwahiyo alituachia masimtank pamoja na pump ya maji, sasa mzee wangu alipanga airekebishe nyumba ndo apangishe tena kwahiyo akaniambia mimi niwe nakaa kwenye nyumba hii mpaka hapo atakapotengeneza.

Sasa siku ya kwanza kukaa nilirudi mida kama ya saa 7 usiku,ile nafungua mlango naingia ndani nakutana na baridi la ajabu wakati nilizima kila kitu na hamna AC wala fridge yaani baridi kama kuna AC kuliko nje nilipotoka.

Nikakausha nikajua handaz tu sasa mimi hua navuta sigara nilikaa sitting room yaani hamna upepo lakini nawasha sigara na njiti haiwaki yaani haiwaki kabisa, nikatoka nje ndo ikawaka mi nilipata wasiwasi ila kwakua nilikuwa nipo high (handaz) nikachukulia poa nikarudi kwa akili yangu niliweka godoro chini pale pale sebuleni ili nilale, usiku ule nalala nikawa naota ndoto za ajabu ajabu, nikawa naota kuna mzee mmoja hapa mtaani (ni mlinzi wa mduka duka ya hapa) et anataka kunif**ra yaani naota mzee anataka kunila tigo.

Asubuhi nakumbuka niliamka saa 3 nikawa bado nipo kitandani nachezea simu nikasikia jikoni kama kuna mama anaongea huku akipika tena mpaka kelele za vyombo nazisikia, basi nikaenda jikoni kuangalia nikakuta hamna kitu yaani nikashangaa, basi ile kurudi sebuleni nikakuta yule mzee singasinga pamoja na mwenzake simjui wamekaa kwenye makochi (sijui yalitokea wapi).

Wanaongea aisee! Niliishiwa nguvu hata kukimbia nilishindwa naona sababu ya uzito wa kujinyea nikaanza kupiga kelele huku naelekea mlangoni kufika milango nilifunga nikaanza kusoma madua yaani sala zote niliomba na kutoa shahada mpaka kuna jirani akaja na kuniuliza kunani ndo akili ikarudi sawa.

Tukaja sebuleni kuangalia hakuna kitu, nilichoka ndo nikaondoka hapo kumwambia mzee na yeye akanijibu atalishughulikia, wadau mi mpaka sasa hivi ile picha ya yule singasinga inanijia nikiwaza yaani sina raha na sijui nifanye nini?

Usiombe yakutokee, wadau unaweza ukajua haya mambo hayapo ila yapo nimeamini.
 
dooh!!
Ndo ush.a.f.i.r.w.a tena ndugu yetu mzee singasinga ni hataree.

Usifanye masihara nilikua naota tena sio huyo singasinga ni mlinzi tu babu wa hapa mtaani
 
Hayo ni madhara ya bangi handaz unazovuta mpaka saa saba usiku huku unatamani pesa na makochi ya Singasinga, na huku akili iko kwenye wanakonyea, hayo ndo utakayoendelea kuyaona ukiendelea kutumia handaz
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Hayo ni madhara ya bangi handaz unazovuta mpaka saa saba usiku huku unatamani pesa na makochi ya Singasinga, na huku akili iko kwenye wanakonyea, hayo ndo utakayoendelea kuyaona ukiendelea kutumia handaz

Ilikua asubuhi mkuu,nipo sober
 
Ilikua asubuhi mkuu,nipo sober

Hivi we unaijua bangi, bangi ina akili kama mchwa, inaweza kukupa nguvu za kulima lakini ikaua ndoa, inaweza ikakupa mahusiano mazuri na watu lakini ikaua mapafu, kama ni mwanafunzi inaweza isikudhuru kwa lolote lakini ikawa inakuletea malaria isiyotibika kipindi cha mitihani tu, mitihani ikiisha unakuwa sober!

Unapotaka kwenda kwenye kazi muhimu inaweza kukuletea muonekano wa kundi la wachawi kukukimbiza, kukukaba mpaka mate yatoka muda wote kama taahira, kazi ikipita unarudi kuwa fresh. Bangi inajua wakati na mahali pa KUPIGA.

BANGI NI ZAIDI YA MOSHI
 
Hivi we unaijua bangi, bangi ina akili kama mchwa, inaweza kukupa nguvu za kulima lakini ikaua ndoa, inaweza ikakupa mahusiano mazuri na watu lakini ikaua mapafu, kama ni mwanafunzi inaweza isikudhuru kwa lolote lakini ikawa inakuletea malaria isiyotibika kipindi cha mitihani tu, mitihani ikiisha unakuwa sober!

Unapotaka kwenda kwenye kazi muhimu inaweza kukuletea muonekano wa kundi la wachawi kukukimbiza, kukukaba mpaka mate yatoka muda wote kama taahira, kazi ikipita unarudi kuwa fresh. Bangi inajua wakati na mahali pa KUPIGA.

BANGI NI ZAIDI YA MOSHI

Aisee, hii kitu ndivyo ilivyo kumbe, loh!!!!
 
Hivi we unaijua bangi, bangi ina akili kama mchwa, inaweza kukupa nguvu za kulima lakini ikaua ndoa, inaweza ikakupa mahusiano mazuri na watu lakini ikaua mapafu, kama ni mwanafunzi inaweza isikudhuru kwa lolote lakini ikawa inakuletea malaria isiyotibika kipindi cha mitihani tu, mitihani ikiisha unakuwa sober!

Unapotaka kwenda kwenye kazi muhimu inaweza kukuletea muonekano wa kundi la wachawi kukukimbiza, kukukaba mpaka mate yatoka muda wote kama taahira, kazi ikipita unarudi kuwa fresh. Bangi inajua wakati na mahali pa KUPIGA.

BANGI NI ZAIDI YA MOSHI

Amesema handaz anamaanisha anakula mirungi kama sikosei
 
Duh!!...Usirudi kulala huko watakuf***ra kweli yani cha ukweli kweli..Alfu unajua hawajamaa(Asian) wanapendaga tigo
 
Hivi we unaijua bangi, bangi ina akili kama mchwa, inaweza kukupa nguvu za kulima lakini ikaua ndoa, inaweza ikakupa mahusiano mazuri na watu lakini ikaua mapafu, kama ni mwanafunzi inaweza isikudhuru kwa lolote lakini ikawa inakuletea malaria isiyotibika kipindi cha mitihani tu, mitihani ikiisha unakuwa sober!

Unapotaka kwenda kwenye kazi muhimu inaweza kukuletea muonekano wa kundi la wachawi kukukimbiza, kukukaba mpaka mate yatoka muda wote kama taahira, kazi ikipita unarudi kuwa fresh. Bangi inajua wakati na mahali pa KUPIGA.

BANGI NI ZAIDI YA MOSHI

Sivuti bangi mkuu
 
Back
Top Bottom