Nyumba iliyotoweka

Nyumba iliyotoweka

Bukya

Senior Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
196
Reaction score
121
Mtu mmoja raia wa Malawi aliachishwa kazi ghafla katika kampuni moja ya madini huko Afrika Kusini. Pia alilazimishwa kuhama katika nyumba ya kampuni hiyo. Huyo jamaa akagoma kukabidhi nyumba. Asubuhi moja maafisa wa kampuni wakakuta nyumba imetoweka kimebaki kiwanja tu. Wanasayansi wanaendelea na utafiti maana nyumba haikubomolewa na inaonekana katika kijiji kimoja huko Malawi.
 
Hayo ni maajabu ya mwaka,kwa hiyo jamaa kahamisha mjengo,hiyo teknolojia ni nzuri sana
 
Hao najua wanalala kwenye makontena c ajabu kontena mbona linaamishika?
 
Back
Top Bottom