Masokwe
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 451
- 676
Hello wakulungwa na mafundi wabobezi,
Naomba kujua nyumba hii ya vyumba 2 utagharimu tofali kiasi gani!?
Msingi pekee tofali ngapi!? wenye angalau coz 5, napendelea nyumba iwe juu.
Kutoka kwenye msingi mpaka lenta pia?
Maana ujenzi wangu ni ule wa awamu awamu.
Naomba kujua nyumba hii ya vyumba 2 utagharimu tofali kiasi gani!?
Msingi pekee tofali ngapi!? wenye angalau coz 5, napendelea nyumba iwe juu.
Kutoka kwenye msingi mpaka lenta pia?
Maana ujenzi wangu ni ule wa awamu awamu.