House4Sale Nyumba hii inauzwa ipo mjini Chanika Mwisho stendi Dar es Salaam kwa million 30

Sep 11, 2020
52
22
Kwa mhitaji wa nyumba hii njoo chapu ufunge mwaka vizuri:+255 6 28 00 82 18/+255 7 54 90 80 45.

Kwa tshg million 30,000,000/=

Nyumba hii ina vyumba vitatu 3 vya kulala chumba kimoja master dining room public toilet jiko stoo na sitting room pia umeme upo maji yapo huduma zote za kijamii zinapatikana karibu.

Ukubwa wa eneo sqm 400.

Umiliki hati ya makabidhiano ni ya ofisi ya serikali ya mtaa.

Wote mnakaribishwa sana bado ipo


FB_IMG_1608825749533.jpg
FB_IMG_1608825499130.jpg
FB_IMG_1608825749533.jpg
FB_IMG_1608825728173.jpg
FB_IMG_1608825513664.jpg
FB_IMG_1608825749533.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom