Nyumba dogos!....:are they necessary evils?

huyo ndo mume ulojichagulia....'kwa shida na raha, uzima na maradhi...' remember?

all in all if i ever get to know that jamaa ana kakibanda......patachimbika

pamoja na viapo vyote ulivyoapa siku ile alipo kuwa anaosha vyombo na mtoto mgongoni??!!
 
Eh! Nlikua cjui kumbe RUKSA. Sasa dada nikitaka kuoa ntaku PM unitafutie kabinti kamoja portable kutoka katika ukoo wenu. Maana mimi ni msiri mmoja mkubwa sana. Si tatizo hilo. Au?.....


hili limekaa kibisashara zaidi! LOL
 
msimamo wangu Mpwa ndo huo! we are making them stay! and my argument is, if they are so 'inevitable' why do u keep 'em secret? hivi wenzetu waislamu wana nyumba ndogo pia? manake wao no sunna hadi wanne! ama hakuna limit ya namba? (nisije nikafungua kiboksi cha pandora mpwa!)

Hehehe! Mpwa hapo usitie neno! LOL! Kama mmoja hajatosha, wawili pia hawajatosha basi hata wanne hawatatosha. NYUMBA NDOGO WILL STILL STAY.
 
my baby boy, cna mengi hapa! mcmamo wangu ni kwamba kama anae/hana atajijua mwenyewe, lakini chonde chonde hiyo itakuwa purukushani ya aina yake, afanye mpaka nijue kwa kweli kwangu hiyo ni dharau tosha, halafu linanijua vizuri yaani nitaharibu mazima kama mbaya iwe mbaya.
HAHAHAHAHAHAHA!
wewe ni mwanamke wa ukweli mwenye ndoa yake!nashawishika kuamini hilo!KULA SENKSI SENKSI SENKSI SENKSI
 
Ohh my dear! Lakni ndio nampenda sasa.Lakini naomba endelea na moyo huo wa kunisaidia kumlinda.
By the way iam sorry sikuwepo w'end,nilikuwa na hamu ya kukuona .Hata hivyo nilipata salamu zako kutoka kwa shemejio(sore ofu topik)

endelea kumpenda dear....ni wako tu no matter wat msije mkamtesa binti yenu buree

hizo nyumba ndogo za kupita tu...

usijali ile geti tugeza yetu ya wadada si ipo...tutaonana pale
 
ndio maana mtu akimega nje ya ndoa na mkewe ana kuwa na possibility kubwa ya kumegwa...,

Dah hapa patamu sana kwa hiyo baba ana mega bila kujua na mama nae ana megwa nje bila kujua wakirudi home ngoma inakuwa droo hakuna wa kumlaumu mwenzie vp mkikutana Guest Hausi moja itakuwaje?
 
hehehe! Mpwa hapo usitie neno! Lol! Kama mmoja hajatosha, wawili pia hawajatosha basi hata wanne hawatatosha. nyumba ndogo will still stay.

senksi senksi senksi senksi senksi senksi

senksi senksi senksi senksi senksi senksi
 
Eti.....! Hivyoe? Dah, nlikuwa sijuagi.

ndio maana yake, ukicheat basi huyo unayecheat naye na yeye ana "cheat" na mwingineeee...kwani hujasikiaga mume wa mtu analalamika ati "kafumania" nyumba ndogo na mwanaume mwingine
 
endelea kumpenda dear....ni wako tu no matter wat msije mkamtesa binti yenu buree

hizo nyumba ndogo za kupita tu...

usijali ile geti tugeza yetu ya wadada si ipo...tutaonana pale

Ukipenda ua unapenda na boga lake. Hahahaha! Nguliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii? Where is this guy today? Eh?
 
msimamo wangu Mpwa ndo huo! we are making them stay! and my argument is, if they are so 'inevitable' why do u keep 'em secret? hivi wenzetu waislamu wana nyumba ndogo pia? manake wao no sunna hadi wanne! ama hakuna limit ya namba? (nisije nikafungua kiboksi cha pandora mpwa!)
ukifuatilia mabandiko mengi ya nyamayao na fl1 utaona wamesisitiza kwamba TUFANYE SIRI.....
 
Kabla ya kushabikia if they are there to stay or wither, answer these simple questions:

1.WHO ARE THESE SO CALLED NYUMBA NDOGOS ( their categories, marital status, social strata, etc)

2.Kama umeshaainisha na kuwaelewa hao nyumba ndogo ni akina nani, je uko tayari kwa consequences/implications/ramifications za kuwa nao?

Ukijipa majibu yake kikamilifu..im sure wengi mlioshabikia mtafikiria mara mbilimbili na huenda by the time u r done mtakuwa mmefura kwa hasira!
Good luck!
 
Kuna jamaa ana ka-small house huwa akitoka asubuhi mapema mno anaenda hapo anakula mzigo halafu anaenda kazini! Saa 12 jioni yupo home! Mkewe anamwona mwaminifu kweli kumbe jamaa ana ka tekniki fulani hapo
 
Kuna jamaa ana ka-small house huwa akitoka asubuhi mapema mno anaenda hapo anakula mzigo halafu anaenda kazini! Saa 12 jioni yupo home! Mkewe anamwona mwaminifu kweli kumbe jamaa ana ka tekniki fulani hapo

Msifikiri women are that stupid.... wengine hujua kila tu na siku ya siku utalia debe la machozi.
 
Sisi wanaume tunaiga vitu vingine s/times, Ni nini kinakupeleka kwenye nyumba ndogo? nini ambacho mkeo anacho nyumba ndogo haina? ni kutafuta magonjjwa ya moyo kabla ya magonjwa ya zinaa kwa mfano una kamshara ka laki 3/5 na ndg wanakutegemea mkeo na watoto na nyumba ndogo tena?

Tena siku hizi mimi naona nyumba ndogo kama zinapungua wanaume wengi tumeshtuka ni ushamba uliokitihiri. Ni wachache sana wasio na uelewa wanaendelea na hii thana potofu.
 
Eh! Nlikua cjui kumbe RUKSA. Sasa dada nikitaka kuoa ntaku PM unitafutie kabinti kamoja portable kutoka katika ukoo wenu. Maana mimi ni msiri mmoja mkubwa sana. Si tatizo hilo. Au?.....

ndo nakwambia mie nikijua ..sijui itakuwaje teteteh
Mie sina ukoo kwetu nilizaliwa alone na wengine washakuwa vibibi rafiki
 
Back
Top Bottom