Nyumba au kiwanja cha kununua kinahitajika

Nyumba au kiwanja cha kununua kinahitajika

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,138
Reaction score
365
Nyumba au kiwanja: Kiwe maeneo ya Makonga Juu, Goba kuelekea Bagamoyo mwisho Tegeta. Kiwanja lazima kiwe na ukubwa wa 1000 square meters na hati. Bajeti iliyotengwa kwa manunuzi ya kiwanja Tshs 100mil. Bajeti iliyotengwa kwa manunuzi ya nyumba Tshs 200-300mil. Tuwasiliane kwa ukaguzi piga simu au niachie ujumbe whatsapp 0784225000
 
Kuna mtu anauza kiwanja Mbweni ni 70M kwa 40M sqm 2800 bei Aliniambia ni Milioni 250 maelewano yapo..kama upo interested nikupe namba yake muwasiliane Kitomai
 
nina kiwanja sqm 1700 ila hakipo maeneo hayo! sijui kama utakuwa unakihitaji?
 
Kiwanja Kitunda 50Ft X 100Ft bei ni 15M. Maongezi yapo. Umeme hapo hapo. Mitaa iliyopangika. Makazi mapya(Magole)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom