nyuklia irani/tanzania

busar

JF-Expert Member
Dec 22, 2011
1,068
1,061
Naungamkono mpango wa silaha wa nyuklia wa irani, wewe je?
 
Kama unaunga mkono Iran kuwa na weapons of mass destruction, hebu fikiria kwa muda tu iwapo kama MUAMMAR GADDAFFI angekuwa na silaha hizo pale aliposhambuliwa na NATO mpaka akajificha kwenye mtaro, je hudhani kama angeweza kuzitumia silaha hizo as his last resort defence? Na kama angezitumia madhara yake yangekuwaje?
 
Kama inatumia kwa uzalishaji wa nishat ni safi lakin vingnevyo siung mkona urutubishaj huo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…