Nyota za bahati zipoje?

Akili za kuambiwa changanya na zako
 
Kwani kampuni ya toyota na huyo aliyeibiwa nyota kipi kilianza?

Huyo aliyeibiwa nyota yake ana umri mkubwa kuizidi kampuni ya toyota?

Mauzo ya toyota kabla ya kuuziwa hiyo nyota yalikuwaje na sasa yakoje?
 
 
Ungemwambia akamkate vibao huyo mchungaji, haiwezekani amfanyie utoto wa namna hiyo!

Kesho atamwambia apeleke kiasi fulani cha pesa ampe maji ya kurudisha nyota!
 
Kweli wajinga hawaishi duniani.
Alafu utakuta mtu anamsikiliza kabisa mchungaji kamahuyo kwa umakini na heshima.

Naungana na wanaocheka hahahaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhama hama makanisa mtasali mpk Kwenye nyumba za ibada za mashetani, si mtuliege hamkomi. Bora niende kwa mganga sio makanisa haya ya wasakatonge
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…