DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,635
- 81,535
Kwakuwa mm nipo Tanzania.Uonyeshwi kila kitu kuhusu ulaya only mambo mazuri
Umasikini wa Africa na Tanzania generally upo catalyst na mifumo na sio hizo habari sijui laana ,nyota n.k
Matumizi ya resources yapo misused
Na kuna mifumo duni
Elimu duni
Na uncivilized so elewa hilo