Nyota ya DC Sabaya yang'ara Mbele ya Dr.Bashiru Hai

Nyota ya DC Sabaya yang'ara Mbele ya Dr.Bashiru Hai

Joined
Jun 4, 2019
Posts
14
Reaction score
23
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dr.Bashiru Kakurwa kaandika historia wilayani Hai kwanza kwa namna alivyopokelewa na idadi kubwa ya wanachama wa CCM na kubebwa na kina mama baada ya kuchuka kwenye gari lake.
Bashiru sio MTU wa kusifia sifia watu hovyo na kwa unafiki akiwa Hai alishindwa kuficha furaha yake na kuwapa sifa watendaji kazi wa serikali ya Hai mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya aliye muita Mbunge wa Hai na Mkurugenzi wake Yohana Sintoo kwa namna wanavyo Shughulikia kero za wananchi.Dr Bashiru ameanza Ziara yake ya Kikazi Mkoani Kilimanjaro na kupokelewa wilayani Hai.Akiwa Hai Dr.Bashiru amefanya mkutano wa ndani na wanachama wa chama cha mapinduzi na makada.Akizungumza na wanachama hao aliwaeleza kuwa amezidi kudhibitisha hakuna chama cha upinzani chenye ngome yake Hai na Kilimanjaro kutokana na idadi kubwa ya wanachama wa chama cha Mapinduzi waliojitokeza kumpokea na hakuna chama kinaweza kusema kina ngome yake mahali wakati hakikushinda Dola kwenye uchaguzi mkuu na kusema CCM ndo chama pekee kinachokubalika nchi nzima.Alimpongeza Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya kwa namna anavyo toka ofisini na kushughulika na shida za watu ikiwa za migogoro ya Aridhi na miradhi akawataka wakuu wengine wa wilaya nawao wafanye kama mkuu wa wilaya huyo.
 
Nasikitika mama yangu ni mnazi wa hili chama. Mama mwalimu mstaafu anacheleweshewa pensheni yake... ukimuuliza anakuambia anaunga mkono juhudi za JPM za kuleta maendeleo . ... afu baadae anaomba hela ya kujikimu....

Sijawahi kuona lichama la kisengerema kama hili la kulazimishana.
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dr.Bashiru Kakurwa kaandika historia wilayani Hai kwanza kwa namna alivyopokelewa na idadi kubwa ya wanachama wa CCM na kubebwa na kina mama baada ya kuchuka kwenye gari lake.
Bashiru sio MTU wa kusifia sifia watu hovyo na kwa unafiki akiwa Hai alishindwa kuficha furaha yake na kuwapa sifa watendaji kazi wa serikali ya Hai mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya aliye muita Mbunge wa Hai na Mkurugenzi wake Yohana Sintoo kwa namna wanavyo Shughulikia kero za wananchi.Dr Bashiru ameanza Ziara yake ya Kikazi Mkoani Kilimanjaro na kupokelewa wilayani Hai.Akiwa Hai Dr.Bashiru amefanya mkutano wa ndani na wanachama wa chama cha mapinduzi na makada.Akizungumza na wanachama hao aliwaeleza kuwa amezidi kudhibitisha hakuna chama cha upinzani chenye ngome yake Hai na Kilimanjaro kutokana na idadi kubwa ya wanachama wa chama cha Mapinduzi waliojitokeza kumpokea na hakuna chama kinaweza kusema kina ngome yake mahali wakati hakikushinda Dola kwenye uchaguzi mkuu na kusema CCM ndo chama pekee kinachokubalika nchi nzima.Alimpongeza Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya kwa namna anavyo toka ofisini na kushughulika na shida za watu ikiwa za migogoro ya Aridhi na miradhi akawataka wakuu wengine wa wilaya nawao wafanye kama mkuu wa wilaya huyo.
Na bado mtaweweseka sana lkn Chadema ni chama la wananchi wanaojielewa
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dr.Bashiru Kakurwa kaandika historia wilayani Hai kwanza kwa namna alivyopokelewa na idadi kubwa ya wanachama wa CCM na kubebwa na kina mama baada ya kuchuka kwenye gari lake.
Bashiru sio MTU wa kusifia sifia watu hovyo na kwa unafiki akiwa Hai alishindwa kuficha furaha yake na kuwapa sifa watendaji kazi wa serikali ya Hai mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya aliye muita Mbunge wa Hai na Mkurugenzi wake Yohana Sintoo kwa namna wanavyo Shughulikia kero za wananchi.Dr Bashiru ameanza Ziara yake ya Kikazi Mkoani Kilimanjaro na kupokelewa wilayani Hai.Akiwa Hai Dr.Bashiru amefanya mkutano wa ndani na wanachama wa chama cha mapinduzi na makada.Akizungumza na wanachama hao aliwaeleza kuwa amezidi kudhibitisha hakuna chama cha upinzani chenye ngome yake Hai na Kilimanjaro kutokana na idadi kubwa ya wanachama wa chama cha Mapinduzi waliojitokeza kumpokea na hakuna chama kinaweza kusema kina ngome yake mahali wakati hakikushinda Dola kwenye uchaguzi mkuu na kusema CCM ndo chama pekee kinachokubalika nchi nzima.Alimpongeza Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya kwa namna anavyo toka ofisini na kushughulika na shida za watu ikiwa za migogoro ya Aridhi na miradhi akawataka wakuu wengine wa wilaya nawao wafanye kama mkuu wa wilaya huyo.
Hii ni ID yako sabaya,unajisifia mwenyewe
 
Sabaya anampoteza mbowe mapema ,2020 in kuchukua na kuweka pa

Kama anabackup ya watu wasiojulikana na vyombo vyote vya dola hapo unategemea nini? Simply hakuna ushindani hapo bali rais ndio atatumia madaraka yake kuagiza atangazwe mbunge.
 
Hongera Sana Cde Sabaya ...Kijana Mpambanaji Na Mzalendo ...Kazi Moja Imebakia 2020 Kutuondolea Mbowe Hapo Hai
 
Hiyo ndiyo taswira ya waimba taarabu wa ccm wakifanya yote ili wapewe chochote kitu maana kwenye kupambana na maslahi yako sio mchezo lazima ukane utu wako ujitoe ufahamu ili mradi tu kumfurahisha boss ili upate aki yako staiki hii itachukua muda mrefu kubadili mindset za wazee wetu kutambua thamani yao na wajibu wao kama raia wa Tanzania
Nasikitika mama yangu ni mnazi wa hili chama. Mama mwalimu mstaafu anacheleweshewa pensheni yake... ukimuuliza anakuambia anaunga mkono juhudi za JPM za kuleta maendeleo . ... afu baadae anaomba hela ya kujikimu....

Sijawahi kuona lichama la kisengerema kama hili la kulazimishana.
 
Nasikitika mama yangu ni mnazi wa hili chama. Mama mwalimu mstaafu anacheleweshewa pensheni yake... ukimuuliza anakuambia anaunga mkono juhudi za JPM za kuleta maendeleo . ... afu baadae anaomba hela ya kujikimu....

Sijawahi kuona lichama la kisengerema kama hili la kulazimishana.
Mchane makavu bi mkubwa
 
Nasikitika mama yangu ni mnazi wa hili chama. Mama mwalimu mstaafu anacheleweshewa pensheni yake... ukimuuliza anakuambia anaunga mkono juhudi za JPM za kuleta maendeleo . ... afu baadae anaomba hela ya kujikimu....

Sijawahi kuona lichama la kisengerema kama hili la kulazimishana.
Sengerema siuri wahikuka wewe nafikiri umeni erewa kukuu
 
Back
Top Bottom