Nyota nyingine angani zimeshakufa muda mrefu

Nyota nyingine angani zimeshakufa muda mrefu

Mzawa_G

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
669
Reaction score
1,479
Angani kuna makundi makubwa ya nyota ambayo yametapakaa huko anga za mbali kila sehemu ambayo yamefanya hata anga la Dunia yetu lipendeze vizuri sana nyakati za usiku.

Nyota nyingi tunazoweza kuziona katika anga la Dunia yetu pengine zengine zimeshakufa muda mrefu tunafahamu kuwa nyota hupitia katika vipindi 3 vyake ambavyo ni kuzaliwa, kuishi nyakati za ujana na kile kipindi chake cha mwisho ambacho ni kufa kwa nyota na kubalika na kuwa shimbo jeusi (blackhole).

Sasa basi kuna nyota nyingi angani tayari zimeshafika katika hatua hiyo ila bado tunaendelea kuziona zikiwa zinawaka kwa kuwa tu baadhi ya nyota mwangaza wake bado unaendelea kusafiri tu kwa muda mrefu kutokea kwenye chanzo chake mpaka kutufikia sisi na kuendelea mbali zaidi kabisa.

Kuna baadhi ya nyota zipo mbali sana na mwangaza wake usafiri kwa miaka mingi zaidi mamillioni kwa mabillioni ya miaka mpaka kutufikia na kumbuka hapa kila nyota huendelea kusafiri na taswira zake mbalimbali.

Kwa mfano wa harakaharaka mwanga wa jua letu husafiri kwa kiasi cha dakika 8 kutoka katika chanzo chake hadi kufika huku duniani kwetu sasa kama itatokea jua letu likabadili rangi na kuwa rangi ya blue basi itachukua dakika 8 zengine kuweza kuonekana huku Duniani kwetu.

Kuna baadhi ya taswira za nyota ambazo tunazoziona sasa kwa kutumia darubini pengine taswira hizo zilishapita miaka mingi sana na kila siku taswira zinaendelea kubadilika badilika kutokana na vile nyota ilivyokuwa ikibadilisha taswira katika kipindi cha maisha yake.

Mwanga husafiri umbali wa kilomita laki 3 kwa sekunde moja na tunafahamu kuwa umbali baina ya jua na dunia yetu ni kilomita millioni 150 na tunafahamu dakika 1 ina sekunde 60 sindio.

(150,000,000 ÷ 300,000 ÷ 60) utapata jibu sawa na dakika 8.3 ambazo ni sawa na muda ambao mwanga wa letu hutumia kutufikia sisi Duniani.

Mwanga huendelea kusafiri kwa sababu mwangaza husafiri kama mawimbi madogomadogo ambayo yana umeme ndani yake mawimbi hayo uendelea kusafiri milele mpaka pale yatakapoweza kugonga vizuizi vitakavyoweza kubadilisha uelekeo au kupunguza kasi yake hiyo.
 
Angani kuna makundi makubwa ya nyota ambayo yametapakaa huko anga za mbali kila sehemu ambayo yamefanya hata anga la Dunia yetu lipendeze vizuri sana nyakati za usiku.

Nyota nyingi tunazoweza kuziona katika anga la Dunia yetu pengine zengine zimeshakufa muda mrefu tunafahamu kuwa nyota hupitia katika vipindi 3 vyake ambavyo ni kuzaliwa, kuishi nyakati za ujana na kile kipindi chake cha mwisho ambacho ni kufa kwa nyota na kubalika na kuwa shimbo jeusi (blackhole).

Sasa basi kuna nyota nyingi angani tayari zimeshafika katika hatua hiyo ila bado tunaendelea kuziona zikiwa zinawaka kwa kuwa tu baadhi ya nyota mwangaza wake bado unaendelea kusafiri tu kwa muda mrefu kutokea kwenye chanzo chake mpaka kutufikia sisi na kuendelea mbali zaidi kabisa.

Kuna baadhi ya nyota zipo mbali sana na mwangaza wake usafiri kwa miaka mingi zaidi mamillioni kwa mabillioni ya miaka mpaka kutufikia na kumbuka hapa kila nyota huendelea kusafiri na taswira zake mbalimbali.

Kwa mfano wa harakaharaka mwanga wa jua letu husafiri kwa kiasi cha dakika 8 kutoka katika chanzo chake hadi kufika huku duniani kwetu sasa kama itatokea jua letu likabadili rangi na kuwa rangi ya blue basi itachukua dakika 8 zengine kuweza kuonekana huku Duniani kwetu.

Kuna baadhi ya taswira za nyota ambazo tunazoziona sasa kwa kutumia darubini pengine taswira hizo zilishapita miaka mingi sana na kila siku taswira zinaendelea kubadilika badilika kutokana na vile nyota ilivyokuwa ikibadilisha taswira katika kipindi cha maisha yake.

Mwanga husafiri umbali wa kilomita laki 3 kwa sekunde moja na tunafahamu kuwa umbali baina ya jua na dunia yetu ni kilomita millioni 150 na tunafahamu dakika 1 ina sekunde 60 sindio.

(150,000,000 ÷ 300,000 ÷ 60) utapata jibu sawa na dakika 8.3 ambazo ni sawa na muda ambao mwanga wa letu hutumia kutufikia sisi Duniani.

Mwanga huendelea kusafiri kwa sababu mwangaza husafiri kama mawimbi madogomadogo ambayo yana umeme ndani yake mawimbi hayo uendelea kusafiri milele mpaka pale yatakapoweza kugonga vizuizi vitakavyoweza kubadilisha uelekeo au kupunguza kasi yake hiyo.
Ngoja vibaka wa Nasa waendelee kukudanganya
 
Muda ni jambo la kushangaza sana. Inasemekana kama kuna watu wenye darubini kubwa wapo umbali wa miaka 52 kutoka hapa kwetu wakituchungulia na darubini yao sasa hivi watatuona tukipigania uhuru kumbe sisi kwa sasa tupo na tutozo twetu.
 
Kwaiy vp kuhusu vimondo navyo vilidondoka zamani tunaona marudio tu au..??
 
Mkuu Gerald wewe ishi maisha ya kitakatifu kwa tumaini kuu ya kwamba mbingu na dunia za sasa zitapita, na hatimaye zitakuja mbingu na dunia mpya ambazo hata Ibilisi na malaika zake hawazijui kabisa.

Maarifa ya mbingu za mbali na asili yake bado yamebaki kuwa ni maarifa kiungu na si ya kibinadamu.
 
Mkuu Gerald wewe ishi maisha ya kitakatifu kwa tumaini kuu ya kwamba mbingu na dunia za sasa zitapita, na hatimaye zitakuja mbingu na dunia mpya ambazo hata Ibilisi na malaika zake hawazijui kabisa.

Maarifa ya mbingu za mbali na asili yake bado yamebaki kuwa ni maarifa kiungu na si ya kibinadamu.
Mkuu mbenge

Mungu alituumba , then akatupa maarifa ili tuitawale dunia na vyote vilivyomo ndani yake

Hata haya tunayoyackia sas ni mipango yake mwenyez Mungu
 
WARUMI 11

33 Jinsi utaji
ri wa Mungu ulivyo mkuu! Hekima yake na maarifa yake hayana mwisho. Njia zake na maamuzi yake hayachu nguziki!
34 Kwa maana ni nani amepata kufahamu mawazo ya Mungu au kuwa mshauri wake?
35 Au ni nani amewahi kumpa cho chote ili arudishiwe?
36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake na vipo kwa ajili yake na vyote vinadumu kwake. Utukufu ni wake milele.
Amina.
 
1.NYOTA uzionazo angani ndo WANADAMU waliopo chini ya jua, na WANADAMU watakaokuja zaliwa miaka mingi ijayo.

2. Zinazaliwa na hufa pia.

3. Mtu akifunga NDOA, NYOTA huungana mbili kuwa moja.

4. NYOTA hukaa Hadi miaka na zaidi 2000 kabla ya mtu kuja Kuzaliwa.

5. Umbali Kutoka zilipo NYOTA ni sawa na umbali Kutoka Duniani kwenda lilipo jua na kurudi tena Duniani.

6. NYOTA ni ndogo kama ngumi ya MKONO na ni umbo la yai bt Ina Nuru ya kuweza kuonekana duniani.

Ameeeen.
 
1.NYOTA uzionazo angani ndo WANADAMU waliopo chini ya jua, na WANADAMU watakaokuja zaliwa miaka mingi ijayo.

2. Zinazaliwa na hufa pia.

3. Mtu akifunga NDOA NYOTA huungana mbili kuwa moja.

4. NYOTA hukaa Hadi miaka 2000 kabla ya mtu kuja Kuzaliwa.

5. Umbali Kutoka zilipo NYOTA ni sawa na umbali Kutoka Duniani kwenda lipo jua na kurudi tena Duniani.

6. NYOTA ni ndogo kama ngumi ya MKONO bt Ina Nuru ya kuweza kuonekana duniani.

Ameeeen.
Elimu ya wapi hii?
 
Angani kuna makundi makubwa ya nyota ambayo yametapakaa huko anga za mbali kila sehemu ambayo yamefanya hata anga la Dunia yetu lipendeze vizuri sana nyakati za usiku.

Nyota nyingi tunazoweza kuziona katika anga la Dunia yetu pengine zengine zimeshakufa muda mrefu tunafahamu kuwa nyota hupitia katika vipindi 3 vyake ambavyo ni kuzaliwa, kuishi nyakati za ujana na kile kipindi chake cha mwisho ambacho ni kufa kwa nyota na kubalika na kuwa shimbo jeusi (blackhole).

Sasa basi kuna nyota nyingi angani tayari zimeshafika katika hatua hiyo ila bado tunaendelea kuziona zikiwa zinawaka kwa kuwa tu baadhi ya nyota mwangaza wake bado unaendelea kusafiri tu kwa muda mrefu kutokea kwenye chanzo chake mpaka kutufikia sisi na kuendelea mbali zaidi kabisa.

Kuna baadhi ya nyota zipo mbali sana na mwangaza wake usafiri kwa miaka mingi zaidi mamillioni kwa mabillioni ya miaka mpaka kutufikia na kumbuka hapa kila nyota huendelea kusafiri na taswira zake mbalimbali.

Kwa mfano wa harakaharaka mwanga wa jua letu husafiri kwa kiasi cha dakika 8 kutoka katika chanzo chake hadi kufika huku duniani kwetu sasa kama itatokea jua letu likabadili rangi na kuwa rangi ya blue basi itachukua dakika 8 zengine kuweza kuonekana huku Duniani kwetu.

Kuna baadhi ya taswira za nyota ambazo tunazoziona sasa kwa kutumia darubini pengine taswira hizo zilishapita miaka mingi sana na kila siku taswira zinaendelea kubadilika badilika kutokana na vile nyota ilivyokuwa ikibadilisha taswira katika kipindi cha maisha yake.

Mwanga husafiri umbali wa kilomita laki 3 kwa sekunde moja na tunafahamu kuwa umbali baina ya jua na dunia yetu ni kilomita millioni 150 na tunafahamu dakika 1 ina sekunde 60 sindio.

(150,000,000 ÷ 300,000 ÷ 60) utapata jibu sawa na dakika 8.3 ambazo ni sawa na muda ambao mwanga wa letu hutumia kutufikia sisi Duniani.

Mwanga huendelea kusafiri kwa sababu mwangaza husafiri kama mawimbi madogomadogo ambayo yana umeme ndani yake mawimbi hayo uendelea kusafiri milele mpaka pale yatakapoweza kugonga vizuizi vitakavyoweza kubadilisha uelekeo au kupunguza kasi yake hiyo.

Vipi kama mwanga unachukua muda mrefu hivi kufika duniani je wanasayansi wanachukua muda gani kufika huko angani
 
1.NYOTA uzionazo angani ndo WANADAMU waliopo chini ya jua, na WANADAMU watakaokuja zaliwa miaka mingi ijayo.

2. Zinazaliwa na hufa pia.

3. Mtu akifunga NDOA, NYOTA huungana mbili kuwa moja.

4. NYOTA hukaa Hadi miaka na zaidi 2000 kabla ya mtu kuja Kuzaliwa.

5. Umbali Kutoka zilipo NYOTA ni sawa na umbali Kutoka Duniani kwenda lilipo jua na kurudi tena Duniani.

6. NYOTA ni ndogo kama ngumi ya MKONO na ni umbo la yai bt Ina Nuru ya kuweza kuonekana duniani.

Ameeeen.
Source of information coz your message via unbelievable
 
Source of information coz your message via unbelievable
Ni Bora kuamini kuliko kutoamini.

Wanasayansi Hadi Leo hawajaweza kulifikia jua lilipo Kwa vyombo na machine wanazotengeneza bt ktk Ulimwengu wa Roho Kila siku watu wanalivuka jua na kuzifikia Hadi NYOTA na kufanya Yao.

Waganga na wachawi daily wanaenda na kuzifikia NYOTA na kuzizima zingine wanaziiba Kwa manufaa Yao na hawakwenda izo shule zenu.

Watumishi wa Mungu wanaenda daily Mbinguni, wanavuka jua na NYOTA, wanafika Ulimwengu wa Giza, wanayavuka maji yaliyopo juu, wanautoboa ukuta unaotenganisha maji na Ulimwengu wa Giza na kufika Mbinguni.

ELIMU ya Dunia ni nzuri ila inaenda slow sana.
 
Ni Bora kuamini kuliko kutoamini.

Wanasayansi Hadi Leo hawajaweza kulifikia jua lilipo Kwa vyombo na machine wanazotengeneza bt ktk Ulimwengu wa Roho Kila siku watu wanalivuka jua na kuzifikia Hadi NYOTA na kufanya Yao.

Waganga na wachawi daily wanaenda na kuzifikia NYOTA na kuzizima zingine wanaziiba Kwa manufaa Yao na hawakwenda izo shule zenu.

Watumishi wa Mungu wanaenda daily Mbinguni, wanavuka jua na NYOTA, wanafika Ulimwengu wa Giza, wanayavuka maji yaliyopo juu, wanautoboa ukuta unaotenganisha maji na Ulimwengu wa Giza na kufika Mbinguni.

ELIMU ya Dunia ni nzuri ila inaenda slow sana.
Ukutupa ushahidi itakuwa vizuri zaidi kuliko kutuaminisha kama huna huna ushahidi wa hayaunayo tueleza basi letehoja za nguvu kuelezea elimu uako hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom