Nyoka ni kielelezo cha tiba na pesa?

maelezo yako
niliwahi kuyasikia kwake
kupitia kipindi chake cha channel ten.

Ok. I missed that one - huku niliko hatupati channel 10. Ni swali tu nimekuwa nikijiuliza muda mrefu. Pengine kutokana na kumuogopa kupita kiasi - huwezi amini nimeshindwa hata kusoma post ya mchangiaji wa kwanza maana avatar yake ni nyoka kidogo niangushe ka laptop kangu!

Sheikh yahya aliuliza kama ninavyouliza au alikuwa na majibu?
 
Ok. I missed that one - huku niliko hatupati channel 10. Ni swali tu nimekuwa nikijiuliza muda mrefu. Pengine kutokana na kumuogopa kupita kiasi - huwezi amini nimeshindwa hata kusoma post ya mchangiaji wa kwanza maana avatar yake ni nyoka kidogo niangushe ka laptop kangu!

Sheikh yahya aliuliza kama ninavyouliza au alikuwa na majibu?


pole sana kwa kumuogopa huyo...
hunizidi mimi kwa kumuogopa..
sheikh yahya anasema kuwa huyo....
anatumika hasa kwa masuala ya afya na ulinzi
yupo kwenye sh 500 ya tanzania,nembo ya muhimbili,who.
maelezo ya sheikh yahya ni marefu kidogo.
but hilo ndo jibu,umenipata?????
 
pole sana kwa kumuogopa huyo...
hunizidi mimi kwa kumuogopa..
sheikh yahya anasema kuwa huyo....
anatumika hasa kwa masuala ya afya na ulinzi
yupo kwenye sh 500 ya tanzania,nembo ya muhimbili,who.
maelezo ya sheikh yahya ni marefu kidogo.
but hilo ndo jibu,umenipata?????

Asante kwa kukiri kumuogopa pia, wengi huwa wanajidai majasiri na hawamuogopi lakini akitokea panakuwa hapatoshi! Niliwahi kuahirisha safari ya bukoba kijijini kwa rafiki yangu baada ya kuniambia kuna nyoka wengi asubuhi unaweza kukuta anatoka kwenye blanket lako!

Nilikuwa sijui kama kuna uhusiano na ulinzi at least kwa Tanzania kwani sijaona akitumika kama nembo ya JWTZ, Police nk. Maelezo yake yana base kwenye unajimu au ana source nyingine?
 
Asante kwa kukiri kumuogopa pia, wengi huwa wanajidai majasiri na hawamuogopi lakini akitokea panakuwa hapatoshi! Niliwahi kuahirisha safari ya bukoba kijijini kwa rafiki yangu baada ya kuniambia kuna nyoka wengi asubuhi unaweza kukuta anatoka kwenye blanket lako!

Nilikuwa sijui kama kuna uhusiano na ulinzi at least kwa Tanzania kwani sijaona akitumika kama nembo ya JWTZ, Police nk. Maelezo yake yana base kwenye unajimu au ana source nyingine?

source ipi tena?si namuona kwenye
noti na nembo hizo...
source pekee ni huyo sheikh yahya..
we upo wapi now?
 
source ipi tena?si namuona kwenye
noti na nembo hizo...
source pekee ni huyo sheikh yahya..
we upo wapi now?

nilikuwa namaanisha shehe yahaya maelezo yake yalibase kwa unajimu tu au alikuwa na vyanzo vingine

Berne
 
Naomba nikiri katika viumbe ninavyoviogopa, nyoka anashika nafasi ya kwanza. Unaweza usiamini hata kuandika jina lake imenigharimu sehemu kubwa ya ujasiri wangu - naogopa hata picha yake!

Pamoja na ukweli huo, nimeshuhudia picha ya nyoka ikitumika kama kielelezo katika sekta ya afya na fedha. Kwa mfano nembo ya hospitali ya taifa Muhimbili ina picha ya nyoka aliyejizungusha kwenye fimbo, kwenye noti ya sh 500 pia kuna picha ya nyoka again akiwa amejizungusha kwenye fimbo.

Ikumbukwe kuwa si muda mrefu sana toka picha za wanyama zianze kutumika kwenye noti zetu badala ya picha za viongozi kama ilivyokuwa awali, nyoka alianza kutumika kabla ya mabadiliko haya. Cha kushangaza watu wa maliasili kwenye matangazo yao ya vivutio vyetu sijawahi kuona wakitangaza nyoka kama kivutio kama twiga, tembo, simba nk wanavyotangazwa.

Sasa nimekuwa nikijiuliza nyoka ana uhusiano gani na tiba na fedha kwa taifa letu kiasi cha kutumika kama kielelezo?
Ndugu Annina usiogope sana nyoka mbona mimi ninaishi nae ndani ya nyumba pamoja kama viumbe wengine?Wa kumuogopa ni Mwenyeezi mungu sio Viumbe wake Ebu ona huyu mzungu anaishi na kiumbe gani?

Mwanamke Anayelala Kitanda Kimoja na Simba na Chui Awashangaza Wengi
2353126.jpg

Ria akiwa na wanyama wake jikoni Sunday, June 28, 2009 8:37 AM
Mwanamke mmoja wa Afrika Kusini anawashangaza watu wengi kwa jinsi anavyolala kitanda kimoja na kukaa nyumba moja na wanyama hatari 11 wakiwemo simba watano, chui wawili na duma wanne. Picha za mwanamke huyo na wanyama wake mwisho wa habari hii. Wakati watu wengi wakiogopa hata kuwasogelea wanyama hao hatari, hali ni tofauti kwa Riana Van Nieuwenhuizen wa nchini Afrika Kusini ambaye yeye hudiriki hata kulala kitanda kimoja na wanyama hao hatari.

Riana mwenye umri wa miaka 46 akiwaongelea wanyama wake hao anaowafuga ndani ya nyumba yake alisema "Nawapenda sana wote".

Riana alianza maisha yake na wanyama hao hatari kwa kumnunua duma mmoja mwaka 2006 baada ya kugundua kwamba wanyama hao ni miongoni mwa wanyama ambao kizazi chao kinaelekea kupotea kukiwa na duma 1000 tu barani afrika.

Riana aliacha kazi yake ya miaka 22 kwenye kitengo cha wizara ya sheria na kufanya kazi kwa muda kwenye zoo ili aweze kumkuza duma wake.

Riana alitimiza ndoto yake ya kuwaokoa duma baada ya muda mfupi kwa kuanzisha mfuko wa hisani wa kutunza kizazi cha duma Afrika aliouita Fiela Funds Cheetah Breeding Project.

Wanyama wake hao wamekuwa wakiranda randa ndani ya nyumba yake kuanzia jikoni mpaka chumbani kitandani.

Pamoja na wanyama hao wakubwa Riana pia anafuga pia mbwa wawili na paka.

"Hufanya kitu chochote kukujulisha kuwa wana njaa, Wakati mwingine huruka ruka kwenye sakafu kukujulisha kuwa wana njaa" alisema Riana.

Riana ameelezea kufurahia maisha yake hadi sasa na wanyama hao ambao wakiwa porini huwa nyama hazikatizi wakaziachia. GONGA HAPA KWA PICHA ZA MWANAMKE HUYO NA WANYAMA

WAKE
picha hao wanyama bonyeza hapa utaona http://nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=2353126&&Cat=7
 
Nimewahi kumsikiliza Sheikh Yahya, kuna vitu vingi anavyosema ni vya kweli maana ukivitafiti kwenye historia vipo. Hili suala la nembo ya nyoka lipo wazi kabisa kwenye historia. Kwa hiyo hakuna haja ya kumpinga Sheikh wa watu kama kuna ushahidi wa kutosha kuonesha kuwa taasisi mbalimbali zimeiga tu hizi nembo zenye maana nzito ndani yake. Ni vyema pia kumsoma Mwandishi wa The Lost Symbol na Da Vinci Code, Dan Brown, maana naye ametafiti kwa undani maana ya baaadhi ya hizi nembo za Jumuiya za Siri. Zaidi ya yote, tuache kuiga kunya kwa tembo ili tusipasuke msamba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom