Annina
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 437
- 57
- Thread starter
- #21
maelezo yako
niliwahi kuyasikia kwake
kupitia kipindi chake cha channel ten.
Ok. I missed that one - huku niliko hatupati channel 10. Ni swali tu nimekuwa nikijiuliza muda mrefu. Pengine kutokana na kumuogopa kupita kiasi - huwezi amini nimeshindwa hata kusoma post ya mchangiaji wa kwanza maana avatar yake ni nyoka kidogo niangushe ka laptop kangu!
Sheikh yahya aliuliza kama ninavyouliza au alikuwa na majibu?