bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,302
Usiyoyajua usipinge,dunia elimu pana.Acha urongo
Je ukiambiwa pana mafuta ukijipaka uonekani popote unaingia utaamini?
Usiyoyajua usipinge,dunia elimu pana.Acha urongo
Wengine wanabaki hadi na makopo ya maji waliyotumia hizi beg na nguo za watoto ndio balaa...Hasa viatu, vyombo na vinginevyo ambavyo havina umuhimu
Hio ndio zawadi Yao sasaWengine wanabaki hadi na makopo ya maji waliyotumia hizi beg na nguo za watoto ndio balaa...
Kuua kwake ni kutokana na kujihami; Ata wewe ukivamiwa unaweza ukaua piaLakini nyoka anaua
Kwa haraka hakaharaka tafta tairi choma funga milango pia pata mafuta ya taa nyunyuzia sehem ulizo na mashaka napo then baada ya dk kadhaa utupe mrejeshoMsaada wakuu nyoka kaingia ndani kapotelea humo, tumetafuta sana hola
sasa kuingia ndani nashindwa naombeni msaada wenu nifanyaje
Unashindwaje kuingia ndani wakati umedai umemtafuta ukamkosa!?..toa godoro umcheki kwenye Chaga,wanapenda Sana Hilo pozi...Kama hakuna ceiling board/gypsum basi yupo kwenye paa...ni WA rangi gani!?Msaada wakuu nyoka kaingia ndani kapotelea humo, tumetafuta sana hola
sasa kuingia ndani nashindwa naombeni msaada wenu nifanyaje
Hii na ile ya kuchoma pilipili fix tu,hatokiChoma tairi ndani ya nyumba
Una mtisha bwana eb vunga 🤣🤣Unashindwaje kuingia ndani wakati umedai umemtafuta ukamkosa!?..toa godoro umcheki kwenye Chaga,wanapenda Sana Hilo pozi...Kama hakuna ceiling board/gypsum basi yupo kwenye paa...ni WA rangi gani!?
Swila/cobra wawili waliingia Getto,tafuta kweli siwaoni,kuinua godoro wangese hawa hapa,walikula magongo wakatangulia kuzimuUna mtisha bwana eb vunga 🤣🤣
Nilikua sijanywa chai nashukuru mkuu.Mimi kuna mwanangu ni msukuma kuna maneno akiyaongea kumsemea uyu mdudu anaganda popote alipo adi anakufa alishawai kunigandishia kenge akasimama pale pale..
Kwahiyo hapo umesha piga chai cyo .... hiyo chai cyo poa maana sahizi ni mchana ...Nilikua sijanywa chai nashukuru mkuu.
Wewe ni KE ama ME?Msaada wakuu nyoka kaingia ndani kapotelea humo, tumetafuta sana hola
sasa kuingia ndani nashindwa naombeni msaada wenu nifanyaje
Tairi hapana atachoma nyumba pia lina moshi mzito unaweza haribu paa au kuta.Kwa haraka hakaharaka tafta tairi choma funga milango pia pata mafuta ya taa nyunyuzia sehem ulizo na mashaka napo then baada ya dk kadhaa utupe mrejesho
baharia unaogopa kanyokaMsaada wakuu nyoka kaingia ndani kapotelea humo, tumetafuta sana hola
sasa kuingia ndani nashindwa naombeni msaada wenu nifanyaje
So nae ajificheKajificha...