hapo kwenye nyekundu naomba nikusahihishe kidogo, anapojisokota sio kama anakuvunjavunja, ila anachofanya ni kusense jinsi unavyopumua, kwa hiyo kila unapota hewa nje yeye anabada kidogo, inafikia point anakuwa amekubana kabisa kiasi kwamba kunakuwa hakuna space ya hewa kwenye mapafu yako na unakufa kwa kukosa hewa, nadhani hata ukiangalia hiyo picha utaona huyo kangaroo bado anaonekana na kitambi chake kama kawaida, kwa hiyo amekufa kwa kukosa hewa baada ya kubanwa sana. maelezo mengine nadhani ni sahihi