Hiki ninachokisema siyo cha kusikia wala kuambiwa ni uzoefu wa mara nyingi isiyo na idadi jinsi wanawake walivyo waongo tena wa kiwango cha lami natamani nikutane na shetani nimwulize hivi siku unaongea na Hawa pale bustani ya Edeni ni kitu gani kingine waliongea ambacho hakijaandikwa kwenye biblia.
Ukikutana na mwanamke na ikafuata hatua ya kupeana namba kwa sababu mbali mbali ikiwa za kikazi, biashara, kanisani, shuleni, chuoni etc sasa unaanza kuwasiliana na mdada, mwanzoni anachat kama malaika flani amazing, if not basi utadhani ni bikira Maria mama yake Yesu...hamjui mwanaume maishani kadiri siku zinavyonoga kasi itaongezeka ukigusa mambo ya mapenzi, day 1 ataruka kama vile kaona nyoka barabarani utasikia oooh, unajua mimi nakuheshimu sana, yaani wee kaka ulivyo mstaarabu sikutarajia kama utakuja kunitongoza yaani wee kaka ujue mimi mke wa mtu na sijawahi hata siku moja kuisaliti ndoa yangu, yaani wewe ndo mara yangu ya kwanza.
Baada ya hapo mwanaume uchune jifanye umemsahau, usimtafute endelea na mambo yako utakutana na sms, na calls kibao, baby mbona hupokei simu yangu, baby umekula? baby mbona leo hujanitafuta?,.hapo kama ni gari imeshafika spidi 80km/h.
Baada ya hapo, baby simu yangu mbovu, siwezi kutumia whatsapp (Hapo anataka umpe hela ya kununua simu) baby kwetu leo hakuna umeme simu yangu inazima umeme umeisha (hapo anataka umtumie hela ili aongeze umeme (hata kama haujaisha) baby simu yangu haina credit....
Acheni uongo basi....
Juzi kati nimempa lifti dada mmoja wakati anatoka job. baada ya siku 2 hivi nikampa lifti tena alivyoona tunafanya kazi maeneo jirani akaniomba namba ili awe ananicheki muda wa kuondoka niwe namsaidia Jioni akanitafuta kuniulizia kama nilifika salama. stori 2, 3 akaniuliza naishi na nani, nikasema niko geto alone.
Nikamchokoza kidogo tu siku hiyo ya kwanza akaniambia ameolewa ila hajawahi kusaliti ndoa yake hivyo hivyo wanavyodanganyaga nikaendelea kumchokoza, akaniambia kesho nitakuja nikupe duuuh, huyo ndo hajawahi kuchepuka eti... unamtongoza jioni kesho anakuletea.....
Nimeamua kudanganya tu kwamba nimepata dharura ya kikazi nimesafiri, ndo siku yangu imepita salama...
Ukikutana na mwanamke na ikafuata hatua ya kupeana namba kwa sababu mbali mbali ikiwa za kikazi, biashara, kanisani, shuleni, chuoni etc sasa unaanza kuwasiliana na mdada, mwanzoni anachat kama malaika flani amazing, if not basi utadhani ni bikira Maria mama yake Yesu...hamjui mwanaume maishani kadiri siku zinavyonoga kasi itaongezeka ukigusa mambo ya mapenzi, day 1 ataruka kama vile kaona nyoka barabarani utasikia oooh, unajua mimi nakuheshimu sana, yaani wee kaka ulivyo mstaarabu sikutarajia kama utakuja kunitongoza yaani wee kaka ujue mimi mke wa mtu na sijawahi hata siku moja kuisaliti ndoa yangu, yaani wewe ndo mara yangu ya kwanza.
Baada ya hapo mwanaume uchune jifanye umemsahau, usimtafute endelea na mambo yako utakutana na sms, na calls kibao, baby mbona hupokei simu yangu, baby umekula? baby mbona leo hujanitafuta?,.hapo kama ni gari imeshafika spidi 80km/h.
Baada ya hapo, baby simu yangu mbovu, siwezi kutumia whatsapp (Hapo anataka umpe hela ya kununua simu) baby kwetu leo hakuna umeme simu yangu inazima umeme umeisha (hapo anataka umtumie hela ili aongeze umeme (hata kama haujaisha) baby simu yangu haina credit....
Acheni uongo basi....
Juzi kati nimempa lifti dada mmoja wakati anatoka job. baada ya siku 2 hivi nikampa lifti tena alivyoona tunafanya kazi maeneo jirani akaniomba namba ili awe ananicheki muda wa kuondoka niwe namsaidia Jioni akanitafuta kuniulizia kama nilifika salama. stori 2, 3 akaniuliza naishi na nani, nikasema niko geto alone.
Nikamchokoza kidogo tu siku hiyo ya kwanza akaniambia ameolewa ila hajawahi kusaliti ndoa yake hivyo hivyo wanavyodanganyaga nikaendelea kumchokoza, akaniambia kesho nitakuja nikupe duuuh, huyo ndo hajawahi kuchepuka eti... unamtongoza jioni kesho anakuletea.....
Nimeamua kudanganya tu kwamba nimepata dharura ya kikazi nimesafiri, ndo siku yangu imepita salama...