abdi ally
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,563
- 2,154
Jamaaa Nampa nishani ya juu kabisa kijeshiKulala nyumbani kwa mke wa mtu na watoto juu ni ujasiri wa hali ya juu
Jamaaa Nampa nishani ya juu kabisa kijeshiKulala nyumbani kwa mke wa mtu na watoto juu ni ujasiri wa hali ya juu
Acha wivu, wewe ndo balozi wa nyumba kumi au mlizi wa huyu mama "mind your bussiness plz"Kwa style hii vijana tusioe, hpa home tupo wapangaj wa4 kuna dada mmoja ana watoto wa2 hyu dada anachepuka mpaka majiran tunaona aibu aisee so kwa mwendo huu anaotoa mbunye afu yeye halioni aibu. Mume wa huyu dada ni wa masafa sana akirud anakaa kidogo anasepa dada ndo anatumia opportunity vizuri kuna boya ndo analala nae sikuhizi mpaka asbh wanatoka wote wanaenda kazin nahisi ni mfanyakaz mwenzake. Angalien sana nyie mnaowaacha wake zenu, mnalipa kodi wahuni wanakuja lala na kuoga kabisa na mkeo analiwa vizuri tu. Kwa dizain hii SIOI
Dogo acha shughuli ya ubea haikupeleki kokote, wewe mwanamke analiwa inakuuma nn? Huezi jua mme wake nae anaweza akawa na michepuko ya kutosha.Kwa style hii vijana tusioe, hpa home tupo wapangaj wa4 kuna dada mmoja ana watoto wa2 hyu dada anachepuka mpaka majiran tunaona aibu aisee so kwa mwendo huu anaotoa mbunye afu yeye halioni aibu. Mume wa huyu dada ni wa masafa sana akirud anakaa kidogo anasepa dada ndo anatumia opportunity vizuri kuna boya ndo analala nae sikuhizi mpaka asbh wanatoka wote wanaenda kazin nahisi ni mfanyakaz mwenzake. Angalien sana nyie mnaowaacha wake zenu, mnalipa kodi wahuni wanakuja lala na kuoga kabisa na mkeo analiwa vizuri tu. Kwa dizain hii SIOI
nilikumiss kweli kweliFanya yako..ya wake za watu hayakuhusu
Acha wivu, wewe ndo balozi wa nyumba kumi au mlizi wa huyu mama "mind your bussiness plz"
Mkuu, taarifa zote ulizoziweka kwenye huu uzi zinalandana na mazingira yangu,Kwa style hii vijana tusioe, hpa home tupo wapangaj wa4 kuna dada mmoja ana watoto wa2 hyu dada anachepuka mpaka majiran tunaona aibu aisee so kwa mwendo huu anaotoa mbunye afu yeye halioni aibu. Mume wa huyu dada ni wa masafa sana akirud anakaa kidogo anasepa dada ndo anatumia opportunity vizuri kuna boya ndo analala nae sikuhizi mpaka asbh wanatoka wote wanaenda kazin nahisi ni mfanyakaz mwenzake. Angalien sana nyie mnaowaacha wake zenu, mnalipa kodi wahuni wanakuja lala na kuoga kabisa na mkeo analiwa vizuri tu. Kwa dizain hii SIOI
Kama nawaona waloowa na wana watoto wawili na wako safarini wanavyohahaaaaa
Mkuu, taarifa zote ulizoziweka kwenye huu uzi zinalandana na mazingira yangu,
Hivyo nipo njiani narudi nyumbani bila taarifa kwenda kutengeneza fumanizi la uhakika.
Ahsante kwa taarifa.
Hahahaha eti sioi baki hivyo mkuuKwa style hii vijana tusioe, hpa home tupo wapangaj wa4 kuna dada mmoja ana watoto wa2 hyu dada anachepuka mpaka majiran tunaona aibu aisee so kwa mwendo huu anaotoa mbunye afu yeye halioni aibu. Mume wa huyu dada ni wa masafa sana akirud anakaa kidogo anasepa dada ndo anatumia opportunity vizuri kuna boya ndo analala nae sikuhizi mpaka asbh wanatoka wote wanaenda kazin nahisi ni mfanyakaz mwenzake. Angalien sana nyie mnaowaacha wake zenu, mnalipa kodi wahuni wanakuja lala na kuoga kabisa na mkeo analiwa vizuri tu. Kwa dizain hii SIOI
Mzee piga picha uweke hapa wakiwa wanatoka ndani...
Huu uzi unaweza sababisha wadau wakaahirisha safari zote wakarudi makwao kucheki usalama.