BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,209
- 39,020
Kwa style hii vijana tusioe, hpa home tupo wapangaj wa4 kuna dada mmoja ana watoto wa2 hyu dada anachepuka mpaka majiran tunaona aibu aisee so kwa mwendo huu anaotoa mbunye afu yeye halioni aibu. Mume wa huyu dada ni wa masafa sana akirud anakaa kidogo anasepa dada ndo anatumia opportunity vizuri kuna boya ndo analala nae sikuhizi mpaka asbh wanatoka wote wanaenda kazin nahisi ni mfanyakaz mwenzake. Angalien sana nyie mnaowaacha wake zenu, mnalipa kodi wahuni wanakuja lala na kuoga kabisa na mkeo analiwa vizuri tu. Kwa dizain hii SIOI