Mlupembe
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 446
- 216
Utakuta umempata demu siku ya kwanza tu , atakwambia oh me nna vidonda vya tumbo maharage situmii , lakini ukimpeleka kwa mpemba anakula kihepe kuku na pilipili kibao !
Tena utaskia me mama hataki ntembee usiku , ukipita kwao usiku wamkuta sa 5 yuko nje na wambeya wenzake....
Atakwambia baby me spendi mapenzi ya uongo sababu nshawahi tendwa , ukichunguza ye ndo kamtenda mpenzi wake kwa kukukubali wewe ,
oh darly me spendi kushare love na mtu kumbe ye ana mabwana wa nne ! Hivi nyi mkoje ?
Tena utaskia me mama hataki ntembee usiku , ukipita kwao usiku wamkuta sa 5 yuko nje na wambeya wenzake....
Atakwambia baby me spendi mapenzi ya uongo sababu nshawahi tendwa , ukichunguza ye ndo kamtenda mpenzi wake kwa kukukubali wewe ,
oh darly me spendi kushare love na mtu kumbe ye ana mabwana wa nne ! Hivi nyi mkoje ?