Nyie mabinti nisikilizeni

Nyie mabinti nisikilizeni

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
4,780
Reaction score
8,155
Vijana wa kiume wengi wanateseka sana, lakini nyie wabinti hamuwezi kujua kwasababu mnaangalia tu ni vipi atakujali na kukuhudumia.

Wengi wanafikria vile atakupeleka out, akuvalishe, akupe hela ya kusukia nywele na kadhalika.

Mabinti wengi wanaangalia tu furaha yao, lakini hawajiulizi huyu mwanaume wangu anapitia nini?

Kutunzwa tu ndio ajenda yao kuu.

Huyo kijana unaemuita mpenzi wako labda ana msongo wa mawazo hata huwezi kushughulika nae upo bize na mambo yako.

Huwezi hata kumtia moyo, wewe unaangalia tu yeye akupe furaha.

Mapenzi si kutunzwa pekee, ukimpenda kijana wa watu hakikisha unajua anayoyapitia, msaidie huyo kijana.

Sio lazima umpe pesa, maana wengi mnadhani kumsaidi mpaka umpe pesa.

Kuna wengine wanahitaji tu MANENO ya kumtia HAMASA kutoka kwako.

Lakini mabinti wengi wenu kitu pekee mnachangia kwenye mahusiano ni SEX tu.

Ebu jiulize, mbali na kumpa hiyo kitu,( sex) kuna pahali pengine unamsaidia Kwenye maisha?

Wengi hamna kitu mnachangia kwenye maisha ya huyo kijana.

Baadae unaanza kulalamika kuwa kijana hakushirikishi mambo yake.

Atakushirikisha vipi wakati huna hoja yeyote ile wewe kutwa ni kulalamika njaa utadhami MCHWA.

Wengine hata ukiwaambia shida unazopitia jibu kubwa utakalolipata kutoka kwao ni swali "kwahiyo utafanyeje mai wangu?" ama "Mungu atakusaidia tu usijali" ama huo ndo uanaume pambana 🥲

Vijana wanapitia misukosuko huko kwenye mihangaiko lakini bado mtu ambaye alitegemea awe chachu ya yeye kupambana anakuwa ni chanzo cha kumkatisha tamaa na kumrudisha nyuma.

Mabinti tafadhali, muwe wapenzi BORA, kama hamuwezi achaneni kabisa na mapenzi mnawasumbua vijana😥

Maana mwanaume anapo tafta mwanamke moja ya hitaji lake ni kurahisishiwa maisha yake.

Sas anakuwa na wewe maisha yake yanazidi kuwa magumu.

Unaomba hela kuliko hata ombaomba wenyewe mnazingua sana.

Kama unazo hizo tabia badilika kuanzia sasa, unalalamika kila mahusiano yanavunjika.

Punguza njaa na tamaa, utavutia watu wazuri.

Siku ya pili tu ya mahusiano kifurushi kinaisha, sasa kama huwezi kujimudu ata kununua vocha ya buku itakuwaje.

Mwanamke ukiwa na pesa zako automatic utakuwa na mapenzi ya dhati.
 
Tafuten Kwa jasho na hao mabint watazaa Kwa uchungu vitabu vya dini vimeeleza mapema sana

Hatujakataa.

Ila hata zaman , mabibi , mabibi na mabibi zako walikuwa wanawasaidia waume zao kwenye kulima, kufuga nk. Na kinachopatinana kinatumika nyumban na familia yote.

Kwahiyo Hawakuwa wanakaa tu ili kuzaa kama Vitabu vilivyoandika.

Hii kusaidiana kuko,
Labda hauna uwezo ila kuna ushauri, kumpa moyo mwenza wako, kumconnect na watu ambao unahisi wataweza msaidia shida aliyonayo.

Sasa ww ni kufanywa tu,
Ambayo kila mwanamke anaweza.
Unakuwaje tofaut na mwanamke mwingne,
Alaf tukicheat unalaumu wakat ww na huyo tunaeenda kumfuata ni the same.

Add value in your relationship...
 
Unfortunately huu uzi haupo mahali sahihi, hawa mabinti wa aina hii wapo TikTok, Instagram
 
Mapenzi ni upumbavu. Ukiondoa ideology ya kutegemea mtu mwingine akupe furaha utakuwa free sana.
 
Nadhani kupigia mbuzi gitaa ndo Kama hivi.
Vijana wa kiume wengi wanateseka sana, lakini nyie wabinti hamuwezi kujua kwasababu mnaangalia tu ni vipi atakujali na kukuhudumia.

Wengi wanafikria vile atakupeleka out, akuvalishe, akupe hela ya kusukia nywele na kadhalika.

Mabinti wengi wanaangalia tu furaha yao, lakini hawajiulizi huyu mwanaume wangu anapitia nini?

Kutunzwa tu ndio ajenda yao kuu.

Huyo kijana unaemuita mpenzi wako labda ana msongo wa mawazo hata huwezi kushughulika nae upo bize na mambo yako.

Huwezi hata kumtia moyo, wewe unaangalia tu yeye akupe furaha.

Mapenzi si kutunzwa pekee, ukimpenda kijana wa watu hakikisha unajua anayoyapitia, msaidie huyo kijana.

Sio lazima umpe pesa, maana wengi mnadhani kumsaidi mpaka umpe pesa.

Kuna wengine wanahitaji tu MANENO ya kumtia HAMASA kutoka kwako.

Lakini mabinti wengi wenu kitu pekee mnachangia kwenye mahusiano ni SEX tu.

Ebu jiulize, mbali na kumpa hiyo kitu,( sex) kuna pahali pengine unamsaidia Kwenye maisha?

Wengi hamna kitu mnachangia kwenye maisha ya huyo kijana.

Baadae unaanza kulalamika kuwa kijana hakushirikishi mambo yake.

Atakushirikisha vipi wakati huna hoja yeyote ile wewe kutwa ni kulalamika njaa utadhami MCHWA.

Wengine hata ukiwaambia shida unazopitia jibu kubwa utakalolipata kutoka kwao ni swali "kwahiyo utafanyeje mai wangu?" ama "Mungu atakusaidia tu usijali" ama huo ndo uanaume pambana 🥲

Vijana wanapitia misukosuko huko kwenye mihangaiko lakini bado mtu ambaye alitegemea awe chachu ya yeye kupambana anakuwa ni chanzo cha kumkatisha tamaa na kumrudisha nyuma.

Mabinti tafadhali, muwe wapenzi BORA, kama hamuwezi achaneni kabisa na mapenzi mnawasumbua vijana😥

Maana mwanaume anapo tafta mwanamke moja ya hitaji lake ni kurahisishiwa maisha yake.

Sas anakuwa na wewe maisha yake yanazidi kuwa magumu.

Unaomba hela kuliko hata ombaomba wenyewe mnazingua sana.

Kama unazo hizo tabia badilika kuanzia sasa, unalalamika kila mahusiano yanavunjika.

Punguza njaa na tamaa, utavutia watu wazuri.

Siku ya pili tu ya mahusiano kifurushi kinaisha, sasa kama huwezi kujimudu ata kununua vocha ya buku itakuwaje.

Mwanamke ukiwa na pesa zako automatic utakuwa na mapenzi ya dhati.
 
Mabroo tuwaambie ukweli wadogo wetu wa kiume kwamba wajipende, wajijali, wajiuhudumie na wajipe kipaumbele wao wenyewe. Hakuna mapenzi ya dhati ulimwengu wa leo hii.

Tusiache madogo wapewe mentorship na wazee. Wazazi wana nia njema lakini mawaidha yao yamepitwa na wakati. Wanatumia playbook ya miaka ya 60 mpaka 80's wakati tupo 2025.

Baba ako alioa mke ambae hawafuati inluencers wa istagram na tiktok. Mama ako hakua feminist. Sasa hapo ukacha dogo apewe na mantorship na mzee kwa 100%, utampoteza mdogo ako.

Mama akimwambia dogo awe mwema, mchamungu na kumjali mpenzi/mke wake. Wewe mvute dogo pembeni mwambie aifuatile past ya uyo mwanamke, kabla ya kufunga ndoa akikishe anasaini prenup, mtoto akizaliwa hajafanana nae aakikishe anapima DNA. Tupo 2025, sio 1970
 
Ebu jiulize, mbali na kumpa hiyo kitu,( sex) kuna pahali pengine unamsaidia Kwenye maisha?
Mkuu Mwanaume maisha yako ni jukumu lako 100%, hupaswi kumuweka Mwanamke kwenye equation ya mafanikio yako, lazima utakuwa DISAPOINTED.

Mwanaume ili uweze kuwa na Mwanamke hakikisha una uwezo wa KUMUONGOZA, KUMTUNZA, KUMLINDA NA KUMRIDHISHA KINGONO. Ukiona hauna kimoja kati ya hivyo achana na Mapenzi focus na kujijenga kiuchumi kwanza na mengine yote utazidishiwa. Tatizo madogo wanajiona special halafu wanataka waonewe huruma karne hii, huo ni ULOFA.

Kijana wa kiume focus na kuondoa Umasikini, hii vita ipigane ukiwa serious sana. Bila kuondoa umasikini utakuwa mtu wa kulalamika kila siku.

Mwanamke anakuja kwenye maisha yako kama extra, kukupa burudani, kuongeza kizazi chako na kukitunza chini ya Muongozo wako, MENGINE hayo ni anasa tu kutokana na uliyemchagua ila SIO LAZIMA mwanamke afanye.

Be a Man, Stay Taliban.
 
Tafuten Kwa jasho na hao mabint watazaa Kwa uchungu vitabu vya dini vimeeleza mapema sana
Kwamba vitabu vya dini ndio kitu gani? Mtazaa kwa uchungu na kutafuta kwa jasho , maumivu ya mbupu unayajua madam?
 
Vijana wa kiume wengi wanateseka sana, lakini nyie wabinti hamuwezi kujua kwasababu mnaangalia tu ni vipi atakujali na kukuhudumia.

Wengi wanafikria vile atakupeleka out, akuvalishe, akupe hela ya kusukia nywele na kadhalika.

Mabinti wengi wanaangalia tu furaha yao, lakini hawajiulizi huyu mwanaume wangu anapitia nini?

Kutunzwa tu ndio ajenda yao kuu.

Huyo kijana unaemuita mpenzi wako labda ana msongo wa mawazo hata huwezi kushughulika nae upo bize na mambo yako.

Huwezi hata kumtia moyo, wewe unaangalia tu yeye akupe furaha.

Mapenzi si kutunzwa pekee, ukimpenda kijana wa watu hakikisha unajua anayoyapitia, msaidie huyo kijana.

Sio lazima umpe pesa, maana wengi mnadhani kumsaidi mpaka umpe pesa.

Kuna wengine wanahitaji tu MANENO ya kumtia HAMASA kutoka kwako.

Lakini mabinti wengi wenu kitu pekee mnachangia kwenye mahusiano ni SEX tu.

Ebu jiulize, mbali na kumpa hiyo kitu,( sex) kuna pahali pengine unamsaidia Kwenye maisha?

Wengi hamna kitu mnachangia kwenye maisha ya huyo kijana.

Baadae unaanza kulalamika kuwa kijana hakushirikishi mambo yake.

Atakushirikisha vipi wakati huna hoja yeyote ile wewe kutwa ni kulalamika njaa utadhami MCHWA.

Wengine hata ukiwaambia shida unazopitia jibu kubwa utakalolipata kutoka kwao ni swali "kwahiyo utafanyeje mai wangu?" ama "Mungu atakusaidia tu usijali" ama huo ndo uanaume pambana 🥲

Vijana wanapitia misukosuko huko kwenye mihangaiko lakini bado mtu ambaye alitegemea awe chachu ya yeye kupambana anakuwa ni chanzo cha kumkatisha tamaa na kumrudisha nyuma.

Mabinti tafadhali, muwe wapenzi BORA, kama hamuwezi achaneni kabisa na mapenzi mnawasumbua vijana😥

Maana mwanaume anapo tafta mwanamke moja ya hitaji lake ni kurahisishiwa maisha yake.

Sas anakuwa na wewe maisha yake yanazidi kuwa magumu.

Unaomba hela kuliko hata ombaomba wenyewe mnazingua sana.

Kama unazo hizo tabia badilika kuanzia sasa, unalalamika kila mahusiano yanavunjika.

Punguza njaa na tamaa, utavutia watu wazuri.

Siku ya pili tu ya mahusiano kifurushi kinaisha, sasa kama huwezi kujimudu ata kununua vocha ya buku itakuwaje.

Mwanamke ukiwa na pesa zako automatic utakuwa na mapenzi ya dhati.
Hahaha
 
Back
Top Bottom