Nyie kumbe Abood Bus imekuwa daladala

Nyie kumbe Abood Bus imekuwa daladala

Sista

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
3,208
Reaction score
1,038
Basi hizi kutoka Moro Dar zimeanza kusimamisha abiria kama kwenye daladala.
 
Pole sana Kiongozi
labda niulize; unasafiri hiyo route ya Morogoro kwenda dar mara ngapi kwa wiki au mwezi? Nafikri tuanzie hapo

Ninachomaanisha ni kuwa, huwezi kusema Biashara ya mtu vibaya kumbe pengine kati ya mabasi 30 yanayofanya hiyo route kutokea moro kwenda dar kwa wiki ni Dereva/konda mmoja au wawili wamefanya hivyo.
Labda ungekuwa specific kwa kulitaja hilo Bas ili uongozi wake ulifuatilie
Naogopa sana kuharibu Brand ya mtu kwani najua ilivyo vigumu kujenga jina.....
WAFANYA BIASHARA WATANIELEWA!!!
 
Basi hizi kutoka Moro Dar zimeanza kusimamisha abiria kama kwenye daladala.
Mbona hilo halijaanza leo, lipo miaka yote na mkifika sehemu hatarishi kwao abiria hushushwa na kuandishwa bidaboda wavushwe kisha kurejea ndani ya basi.
 
Mbona hilo halijaanza leo, lipo miaka yote na mkifika sehemu hatarishi kwao abiria hushushwa na kuandishwa bidaboda wavushwe kisha kurejea ndani ya basi.
Hiu kuna kampuni 1 hivi hawatanisahau, ila wao.ilikuwa ni ile ya kuvushwa mizani, aisee niliwaambia huo ujinga sifanyi fanyieni wajinga wenzenu
 
Pole sana Kiongozi
labda niulize; unasafiri hiyo route ya Morogoro kwenda dar mara ngapi kwa wiki au mwezi? Nafikri tuanzie hapo

Ninachomaanisha ni kuwa, huwezi kusema Biashara ya mtu vibaya kumbe pengine kati ya mabasi 30 yanayofanya hiyo route kutokea moro kwenda dar kwa wiki ni Dereva/konda mmoja au wawili wamefanya hivyo.
Labda ungekuwa specific kwa kulitaja hilo Bas ili uongozi wake ulifuatilie
Naogopa sana kuharibu Brand ya mtu kwani najua ilivyo vigumu kujenga jina.....
WAFANYA BIASHARA WATANIELEWA!!!
Wewe ndo uulizwe ushawahi kupanda? Maana sio swala geni hilo
 
Back
Top Bottom