Nyaraka — Udanganyifu wa WaziKauli “mwanzo na mwisho” haipo katika maandiko ya kale na yenye kuaminika zaidi

Nyaraka — Udanganyifu wa WaziKauli “mwanzo na mwisho” haipo katika maandiko ya kale na yenye kuaminika zaidi

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
13,555
Reaction score
40,749
Wana historia na wana jilojia wametoa matokeo ya utafiti wa neno Alfa na Omega hayapo kwenye maandiko ya Injili ya kale nani kayaingiza?
Codex Vaticanus (karne ya 4): Haipo.

Codex Alexandrinus (karne ya 5):Haipo.
Codex Sinaiticus (karne ya 4): Imeongezwa — lakini bila vionyeshi vya hakika.
Imeandikwa: “mwanzo na mwisho” sio “mwanzo na ule mwisho.”Hii ni tofauti kubwa sana:

“Mwanzo na ule mwisho” inaashiria mamlaka ya milele, isiyo na kikomo.

“Mwanzo na mwisho” → inaweza kumaanisha kipindi, jukumu, au tajriba ya kibinadamu.

Lakini tafsiri za baadaye kama KJV, NIV na The Living Bible zikaongeza kauli hiyo — bila ushahidi wa maandiko — ili kuendeleza fundisho la Utatu.

Hii si elimu ya utafiti bali ni udanganyifu wa kidini.

Ya Nne: Hata Kama Yesu Alisema — Haithibitishi Uungu
Tuseme kweli Yesu alisema: “Mimi ndiye wa Kwanza na wa Mwisho.”
Hata hivyo hii haithibitishi kwamba yeye ni Mungu.

Kwa sababu:

Melkizedeki ameandikwa kuwa:
“Hana baba, hana mama, hana mwanzo wa siku wala mwisho wa uhai.” (Waebrania 7:3)
Lakini alikuwa kuhani mwanadamu, si Mungu.

Israeli (taifa la Wayahudi) wametajwa:
“Ninyi ni mashahidi wangu... kabla yangu hakukuwa na Mungu, wala hatakuwepo mwingine baada yangu.” (Isaya 43:10)
Je, Wayahudi ni Mungu? Bila shaka hapana.

Kwa hiyo kama mtu au taifa linaweza kuelezwa kwa maneno ya heshima ya juu —
Basi “Alfa na Omega” inaweza kuwa cheo cha heshima,
Si dai la kiini cha uungu.

Ufunuo ni Ndoto Sio Andiko la Kimungu
Kitabu cha Ufunuo sio ufunuo wa moja kwa moja kama Taurati au Qur’ani.Ni maono ya ndoto — anayedai kuyaona ni mtu aitwaye Yohana.

Lakini:
Huyu Yohana ni nani? Si yule mtume — hajitambulishi.

Hakuna mashahidi.

Kimejaa alama za ajabu: wanyama wenye vichwa saba, joka, mwanamke akimpanda mnyama. Hata wanazuoni wa mapema wa Kikristo kama Didymus the Blind walisema:

"Tusichukue Ufunuo kwa maana halisi — kimejaa maono ya mfano, kama ndoto." Na ndoto zinaweza kutoka:

Kwa Mungu, au

Kwa mawazo ya mtu, au

Kwa Shetani. Je, utajenga fundisho la uungu juu ya ndoto?
Je, Yesu Aliwahi Kusema: “Mimi ni Mungu — Niabuduni”?
Hapana.
Hakuna hata mstari mmoja katika vitabu vyote 66 au 73 vya Biblia ambako Yesu alisema:

❝ Mimi ni Mungu. Niabuduni. ❞

Lakini alisema:
❝ Baba ni mkuu kuliko mimi. ❞ (Yohana 14:28)

❝ Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu. ❞ (Yohana 20:17)

❝ Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. ❞ (Marko 10:18)

Basi yule anayemwabudu Mungu, anawezaje kuwa ndiye Mungu?

Ya Saba: Uzima wa Milele ni Kumjua Mungu wa Kweli Pekee Katika Yohana 17:3, Yesu alisema:

❝ Huu ndio uzima wa milele: wakujue Wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. ❞
Hapa:
Mungu wa pekee wa kweli ← ni Baba. Yesu ←ndiye aliyetumwa.

Kwa hiyo mjumbe anawezaje kuwa mtumaji?
Mtumishi anawezaje kuwa Bwana? Aya hii peke yake inabomoa Utatu.

Ujumbe wa Mwisho:
Enyi mnaowadanganya wengine kwa jina la “imani”:
Mwenye kudanganya katika mambo ya dini, huyo si muumini.

Sisi tunamwabudu Allah — Mmoja, wa Milele.
Hajazaa, wala hakuzaaliwa.
Wala hakuna anaye fanana naye.

#YesuAlikuwaMtumishi
 
Wana historia na wana jilojia wametoa matokeo ya utafiti wa neno Alfa na Omega hayapo kwenye maandiko ya Injili ya kale nani kayaingiza?
Codex Vaticanus (karne ya 4): Haipo.

Codex Alexandrinus (karne ya 5):Haipo.
Codex Sinaiticus (karne ya 4): Imeongezwa — lakini bila vionyeshi vya hakika.
Imeandikwa: “mwanzo na mwisho” sio “mwanzo na ule mwisho.”Hii ni tofauti kubwa sana:

Unazo hizi version za Biblia?.

Umequotes wap hizi hoja zako?
Sijaona sources zako za ulipopata hii hoja yako.

kuchambua Biblia hakukufanyi ww kuwa ni Muislam safi na pia hakufanyi mtu atilie shaka iman yake ya Kikristo.

Unashangaa ya Wahyi wa Yohana ila haushangai wa Mtume.

Maana Wahyi pia ulikuwa unamjia ndotoni.

Lakini pia
"Ewe Ummu Salama! Usinisumbue kuhusu Aisha, kwani Wahyi haujanijia nikiwa katika nguo za mwanamke yeyote kati yenu isipokuwa Aisha.'"

Wahyi wa namna hiyo ndio unauamini sio.
 
Wana historia na wana jilojia wametoa matokeo ya utafiti wa neno Alfa na Omega hayapo kwenye maandiko ya Injili ya kale nani kayaingiza?
Codex Vaticanus (karne ya 4): Haipo.

Codex Alexandrinus (karne ya 5):Haipo.
Codex Sinaiticus (karne ya 4): Imeongezwa — lakini bila vionyeshi vya hakika.
Imeandikwa: “mwanzo na mwisho” sio “mwanzo na ule mwisho.”Hii ni tofauti kubwa sana:

“Mwanzo na ule mwisho” inaashiria mamlaka ya milele, isiyo na kikomo.

“Mwanzo na mwisho” → inaweza kumaanisha kipindi, jukumu, au tajriba ya kibinadamu.

Lakini tafsiri za baadaye kama KJV, NIV na The Living Bible zikaongeza kauli hiyo — bila ushahidi wa maandiko — ili kuendeleza fundisho la Utatu.

Hii si elimu ya utafiti bali ni udanganyifu wa kidini.

Ya Nne: Hata Kama Yesu Alisema — Haithibitishi Uungu
Tuseme kweli Yesu alisema: “Mimi ndiye wa Kwanza na wa Mwisho.”
Hata hivyo hii haithibitishi kwamba yeye ni Mungu.

Kwa sababu:

Melkizedeki ameandikwa kuwa:
“Hana baba, hana mama, hana mwanzo wa siku wala mwisho wa uhai.” (Waebrania 7:3)
Lakini alikuwa kuhani mwanadamu, si Mungu.

Israeli (taifa la Wayahudi) wametajwa:
“Ninyi ni mashahidi wangu... kabla yangu hakukuwa na Mungu, wala hatakuwepo mwingine baada yangu.” (Isaya 43:10)
Je, Wayahudi ni Mungu? Bila shaka hapana.

Kwa hiyo kama mtu au taifa linaweza kuelezwa kwa maneno ya heshima ya juu —
Basi “Alfa na Omega” inaweza kuwa cheo cha heshima,
Si dai la kiini cha uungu.

Ufunuo ni Ndoto Sio Andiko la Kimungu
Kitabu cha Ufunuo sio ufunuo wa moja kwa moja kama Taurati au Qur’ani.Ni maono ya ndoto — anayedai kuyaona ni mtu aitwaye Yohana.

Lakini:
Huyu Yohana ni nani? Si yule mtume — hajitambulishi.

Hakuna mashahidi.

Kimejaa alama za ajabu: wanyama wenye vichwa saba, joka, mwanamke akimpanda mnyama. Hata wanazuoni wa mapema wa Kikristo kama Didymus the Blind walisema:

"Tusichukue Ufunuo kwa maana halisi — kimejaa maono ya mfano, kama ndoto." Na ndoto zinaweza kutoka:

Kwa Mungu, au

Kwa mawazo ya mtu, au

Kwa Shetani. Je, utajenga fundisho la uungu juu ya ndoto?
Je, Yesu Aliwahi Kusema: “Mimi ni Mungu — Niabuduni”?
Hapana.
Hakuna hata mstari mmoja katika vitabu vyote 66 au 73 vya Biblia ambako Yesu alisema:

❝ Mimi ni Mungu. Niabuduni. ❞

Lakini alisema:
❝ Baba ni mkuu kuliko mimi. ❞ (Yohana 14:28)

❝ Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu. ❞ (Yohana 20:17)

❝ Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. ❞ (Marko 10:18)

Basi yule anayemwabudu Mungu, anawezaje kuwa ndiye Mungu?

Ya Saba: Uzima wa Milele ni Kumjua Mungu wa Kweli Pekee Katika Yohana 17:3, Yesu alisema:

❝ Huu ndio uzima wa milele: wakujue Wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. ❞
Hapa:
Mungu wa pekee wa kweli ← ni Baba. Yesu ←ndiye aliyetumwa.

Kwa hiyo mjumbe anawezaje kuwa mtumaji?
Mtumishi anawezaje kuwa Bwana? Aya hii peke yake inabomoa Utatu.

Ujumbe wa Mwisho:
Enyi mnaowadanganya wengine kwa jina la “imani”:
Mwenye kudanganya katika mambo ya dini, huyo si muumini.

Sisi tunamwabudu Allah — Mmoja, wa Milele.
Hajazaa, wala hakuzaaliwa.
Wala hakuna anaye fanana naye.

#YesuAlikuwaMtumishi
Kila siku ninawajibu mnakimbia... kilicho zaliwa ni mwili siyo mungu ndiyo maana yesu anasema alikuwako kabla ya Ibrahimu..kwa sababu nafsi ya yesu ndiyo mungu mkuu na wapekeee... waislamu wasema Yesu ni mwana wa maliamu ila Yesu aliwa hoji walio mwita mwana wa daudi na kusema yeye siyo mwana ni Bwana wa maliamu bwana wa daudi bwana wa yakobo, bwana wa musa, bwana wa mitume na manabii wote
 
Wana historia na wana jilojia wametoa matokeo ya utafiti wa neno Alfa na Omega hayapo kwenye maandiko ya Injili ya kale nani kayaingiza?
Codex Vaticanus (karne ya 4): Haipo.

Codex Alexandrinus (karne ya 5):Haipo.
Codex Sinaiticus (karne ya 4): Imeongezwa — lakini bila vionyeshi vya hakika.
Imeandikwa: “mwanzo na mwisho” sio “mwanzo na ule mwisho.”Hii ni tofauti kubwa sana:

“Mwanzo na ule mwisho” inaashiria mamlaka ya milele, isiyo na kikomo.

“Mwanzo na mwisho” → inaweza kumaanisha kipindi, jukumu, au tajriba ya kibinadamu.

Lakini tafsiri za baadaye kama KJV, NIV na The Living Bible zikaongeza kauli hiyo — bila ushahidi wa maandiko — ili kuendeleza fundisho la Utatu.

Hii si elimu ya utafiti bali ni udanganyifu wa kidini.

Ya Nne: Hata Kama Yesu Alisema — Haithibitishi Uungu
Tuseme kweli Yesu alisema: “Mimi ndiye wa Kwanza na wa Mwisho.”
Hata hivyo hii haithibitishi kwamba yeye ni Mungu.

Kwa sababu:

Melkizedeki ameandikwa kuwa:
“Hana baba, hana mama, hana mwanzo wa siku wala mwisho wa uhai.” (Waebrania 7:3)
Lakini alikuwa kuhani mwanadamu, si Mungu.

Israeli (taifa la Wayahudi) wametajwa:
“Ninyi ni mashahidi wangu... kabla yangu hakukuwa na Mungu, wala hatakuwepo mwingine baada yangu.” (Isaya 43:10)
Je, Wayahudi ni Mungu? Bila shaka hapana.

Kwa hiyo kama mtu au taifa linaweza kuelezwa kwa maneno ya heshima ya juu —
Basi “Alfa na Omega” inaweza kuwa cheo cha heshima,
Si dai la kiini cha uungu.

Ufunuo ni Ndoto Sio Andiko la Kimungu
Kitabu cha Ufunuo sio ufunuo wa moja kwa moja kama Taurati au Qur’ani.Ni maono ya ndoto — anayedai kuyaona ni mtu aitwaye Yohana.

Lakini:
Huyu Yohana ni nani? Si yule mtume — hajitambulishi.

Hakuna mashahidi.

Kimejaa alama za ajabu: wanyama wenye vichwa saba, joka, mwanamke akimpanda mnyama. Hata wanazuoni wa mapema wa Kikristo kama Didymus the Blind walisema:

"Tusichukue Ufunuo kwa maana halisi — kimejaa maono ya mfano, kama ndoto." Na ndoto zinaweza kutoka:

Kwa Mungu, au

Kwa mawazo ya mtu, au

Kwa Shetani. Je, utajenga fundisho la uungu juu ya ndoto?
Je, Yesu Aliwahi Kusema: “Mimi ni Mungu — Niabuduni”?
Hapana.
Hakuna hata mstari mmoja katika vitabu vyote 66 au 73 vya Biblia ambako Yesu alisema:

❝ Mimi ni Mungu. Niabuduni. ❞

Lakini alisema:
❝ Baba ni mkuu kuliko mimi. ❞ (Yohana 14:28)

❝ Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu. ❞ (Yohana 20:17)

❝ Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. ❞ (Marko 10:18)

Basi yule anayemwabudu Mungu, anawezaje kuwa ndiye Mungu?

Ya Saba: Uzima wa Milele ni Kumjua Mungu wa Kweli Pekee Katika Yohana 17:3, Yesu alisema:

❝ Huu ndio uzima wa milele: wakujue Wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. ❞
Hapa:
Mungu wa pekee wa kweli ← ni Baba. Yesu ←ndiye aliyetumwa.

Kwa hiyo mjumbe anawezaje kuwa mtumaji?
Mtumishi anawezaje kuwa Bwana? Aya hii peke yake inabomoa Utatu.

Ujumbe wa Mwisho:
Enyi mnaowadanganya wengine kwa jina la “imani”:
Mwenye kudanganya katika mambo ya dini, huyo si muumini.

Sisi tunamwabudu Allah — Mmoja, wa Milele.
Hajazaa, wala hakuzaaliwa.
Wala hakuna anaye fanana naye.

#YesuAlikuwaMtumishi
Nani shahidi wa kushushwa quran?
 
 
Hapa subiri matusi kutoka winga zote za makafiri kidogo dadaangu Setfree japo ni mgonjwa wa akili lakini kidogo anaafadhari kuliko hawa makafiri wengine
 
Kila siku ninawajibu mnakimbia... kilicho zaliwa ni mwili siyo mungu ndiyo maana yesu anasema alikuwako kabla ya Ibrahimu..kwa sababu nafsi ya yesu ndiyo mungu mkuu na wapekeee... waislamu wasema Yesu ni mwana wa maliamu ila Yesu aliwa hoji walio mwita mwana wa daudi na kusema yeye siyo mwana ni Bwana wa maliamu bwana wa daudi bwana wa yakobo, bwana wa musa, bwana wa mitume na manabii wote
Yan katika watu viaz ww namba moja
 
Kuna kafiri zaidi ya yule anayesema "Hakuna Mungu isipokuwa allah?"
Sasa allah maana yake nini tuanzie hapo maana hicho ni kiarabu chenye maana ya Mungu, kama vile ukienda Kwa malkia wanavomuita God

Hoja ya ni dhaifu mno huna jipya
 
Unazo hizi version za Biblia?.

Umequotes wap hizi hoja zako?
Sijaona sources zako za ulipopata hii hoja yako.

kuchambua Biblia hakukufanyi ww kuwa ni Muislam safi na pia hakufanyi mtu atilie shaka iman yake ya Kikristo.

Unashangaa ya Wahyi wa Yohana ila haushangai wa Mtume.

Maana Wahyi pia ulikuwa unamjia ndotoni.

Lakini pia
"Ewe Ummu Salama! Usinisumbue kuhusu Aisha, kwani Wahyi haujanijia nikiwa katika nguo za mwanamke yeyote kati yenu isipokuwa Aisha.'"

Wahyi wa namna hiyo ndio unauamini sio.
Kuhusu Alfa na Omega...wewe utakiwi kuangal9a yalikuwepo au la unatakiwa kuangalia lengo la hayo maneno ...mfano methari zinaweza kuwa tofauti na zimetungwa nyakati tofauti ila maana na lengo ni lilelile tumia akili wewe shekh kitumbua
 
Sasa allah maana yake nini tuanzie hapo maana hicho ni kiarabu chenye maana ya Mungu, kama vile ukienda Kwa malkia wanavomuita God

Hoja ya ni dhaifu mno huna jipya
Kuna tofauti gani kati ya ilahi na allah? Tuanzie hapo!
La ilaha illa Allah" is an Islamic declaration of faith, meaning "There is no god but Allah."
 
Kwa hiyo mjumbe anawezaje kuwa mtumaji?
Mtumishi anawezaje kuwa Bwana? Aya hii peke yake inabomoa Utatu.

Ujumbe wa Mwisho:
Enyi mnaowadanganya wengine kwa jina la “imani”:
Mwenye kudanganya katika mambo ya dini, huyo si muumini.

Sisi tunamwabudu Allah — Mmoja, wa Milele.
Hajazaa, wala hakuzaaliwa.
Wala hakuna anaye fanana naye.
Ukiona huwezi kuongelea mafunzo ya imani yako bila kugusa imani ya mtu mwingine, jua imani yako haijajitosheleza, (ya kuungaunga)
 
Hapa subiri matusi kutoka winga zote za makafiri kidogo dadaangu Setfree japo ni mgonjwa wa akili lakini kidogo anaafadhari kuliko hawa makafiri wengine

Najua hauamini Ukristo.

Sawa KAFIRI Munch wa annabelletz47

Yuda 1 :4
"Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo."
 
Back
Top Bottom