Comment ndefu kuliko uziID mpya wp? mi nimeingia humu July 2018 kwa jina la "Fullfilledtruth" nikakaa kama miezi mi3 tu nikala ban 7bu za ushabiki wa siasa uchwara wa mitandaoni humu.
Nimekaa kama wiki 3 hv nikaja na jina "strongestbeliefsecret", sikubadili pp yangu ni ile ile na ndiyomaana hunikuti kwenye siasa 7bu haziniongezei chochote kile.
Sshapo nina ukongwe upi?
Ulishawahiona nimefungua uzi wowote humu, kuandika kwa "bolded writings"
Huwa sipotezewi sana muda na hii mitandao 7bu asilimia kubwa imekaa kouhamasishaji wa anasa tupu, ndiyomaana huwezinikuta Instagram, Facebook, Badoo, Tango, Imo n.k zaidi ya JF, Goal.Com, Google na WhatsApp pekee.
So usinifananishe na vitu nisivyohusiana navyo hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi nina mpango wa kumgonga dada yake ndio maana ananimind
Comment ndefu kuliko uzi
Kwa Kiingereza chake tungemshtukia tu,labda asiongee ngeli
Naona kuna haja ya kuita mkutano mkuu wa legends wa JF........tujadili yetu.....long tym sana.......upo poa lakini.......
Sasa hivi nina mpango wa kumgonga dada yake ndio maana ananimind
Nilimgongea demu wake
Mamaa ,nakusalimiaNaona kuna haja ya kuita mkutano mkuu wa legends wa JF........tujadili yetu.....long tym sana.......upo poa lakini.......
ANHAA KUMBE, MIMI HUWA NASHINDWA KUMTAMBUA MTU KWA MIANDIKO YAKE HUMU JUKWAANI KAMA AMEBADILI IDKwa Kiingereza chake tungemshtukia tu,labda asiongee ngeli
Hili ndio tatizo la kufuatilia maisha ya watu.tangu wanaomfahamu walipoanza kuweka wazi maisha yake, akaanza kuwa mpole na kuanza kupunguza ujuaji.
kuna mtu hapa jf aliwahi ku expose maisha ya bmkubwa wake mitaa ya mbezi,
kwamba licha ya kuishi kwake ughaibuni mda mrefu na mbwembwe za kujua kingereza, akija bongo huwa anafikia kwenye kibanda cha bmkubwa wake mbezi.
jf noma sana, wanaokujua wakiamua kukukalia kooni unaweza badili ID au unaweza kujipa likizo ya dharula ya kutoingia jf.