Katika hali isiyo yakawaida leo jioni wakati wakuchangia bajeti, bwana Nyangwine huku akijua kuwa analolisema linaweza kutafsiliwa vinginevyo amemponda waziwazi bosi wake Mwigulu Mchemba kwa kuvaa bendera ya taifa shingoni.'' Mh. spika kuhusu vazi la taifa ninaomba utaratibu wa kupata vazi la Taifa ufanyike haraka ilikuondokana na hali ya watu kuvaa bendera ya Taifa kama anavyofanya Ndugu yangu Mwigulu'' hali hii ilimfedhehesha sana Mwigulu nakutoamini kama maneno haya yanatolewa na mbenge wake wa CCM. kama asingekuwa ni mbunge wa CCM bila shaka angeomba mwongozo. Bwana Mwigulu, kuvaa bendera shingoni ni kutojitambua. ACHA hadi wenzio hawapendezwi