Nyamagana yachafuka kwa mabomu

Nyamagana yachafuka kwa mabomu

mchambuzixx

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
1,292
Reaction score
946
Leo kulikuwa na mkutano wa Wenje ..pia alikuja na wasanii wa team mabadiliko. Kwa kweli kutokana na umati uliojaa uwanja wa shule ya msingi mirongo. Kutokana na watu kuwa wengi sana msanii Ney wa mitego wakati amepandishwa na idadi ile ya watu ..ikabdidi mkutano ufungwe kabla Roma mkatoliki hajapandishwa jukwaani.

Wakati wasanii hao wanaondoka kutokana na idadi kubwa ya watu waliohudhuria mkutano huo wa mbunge wa nyamagana kuwa wengi sana kama wa mgombea urais ...ilibidi polisi wapige mabomu kama mvua kusambaratisha watu..hadi mida hii bado maeno ya mirongo na njia ya kwenda bugando ni mabomu tuuu. Watu ni wengi sana inabd polisi watumie ustaarabu.Watu wanamtaka Roma Mkatoliki. Jamaa amekua shujaa kwa mda mfupi.

Mgombea wa CHADEMA aliingia uwanjani hapo kwa chopa anayotumia mheshimiwa lowasa
 
attachment.php
 
Umechanganyikiwa wewe mkutano umeisha kisha polisi wapige mabomu bila sababu inakuingia akilini? Katafute sababu ya vurugu kisha rudi hapa tena
 
Umechanganyikiwa wewe mkutano umeisha kisha polisi wapige mabomu bila sababu inakuingia akilini? Katafute sababu ya vurugu kisha rudi hapa tena


polisi walikuwa hawataki maelfu ya watu wasindikize wasaniii...busara ilitakiwa pale.....ilibdi wawaache wawasindikize ...sasa mabomu ya nini
 
Umechanganyikiwa wewe mkutano umeisha kisha polisi wapige mabomu bila sababu inakuingia akilini? Katafute sababu ya vurugu kisha rudi hapa tena

mkuu hilo usibishe hata mm naunga mkono ni kweli mkutano ulikuwa umekwisha na polisi walikuwa wanapiga mabom watu wanakimbia hovyoo na kuna sehem ilikuwa kituko.maana katika kimbia kimbia wakakutana wanachama wa ccm na chadema basi zikaanza fujo hapo na kuzomeana.

mm ni mgeni kdg mwanza so siwezi itaja hata mitaa coz hata wakati mabom yanapigwa nilikuwa nayasikia na kuona pilika pilika zote
 
roma ni shujaa mara mia kuliko hata february makam

Roma ameacha pesa ngap za maccm unafikri!!!!

Tuwe wepesi wakuwaunga mkono wasanii km hawa tusiwasahau..tuwe nao kwenye shida na raha

Si mnaona wale wa ccm wanavyotutukana wana mabadiliko!!!
 
Last edited by a moderator:
Ccm hawajui kusoma picha hawaoni na hata kwa vitendo wanajifanya hawana hbr.
WATZ WANATAKA MABADIRIKO
 
Back
Top Bottom