NJUGHU
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 381
- 261
Kutokana na mfumo wa sasa kupoteza line za simu sasa imekuwa kero maana raia wanalipa TSH 500/= ambayo yenyewe inakatiwa risiti haina shida japo foleni ndefu
Kero iliyopo Police cetral
NYAMAGANA Mwanza ni pale inapotokea copy ya loss report office ya OCD inaposainiwa na kugongwa muhuri. Bila 1000/=hupati hiyo loss report kwa kila ulichopoteza.
Je hii ni halali na imehalalishwa maana fedha inakusanywa waziwazi na kuna droo yake. Kama huu utaratibu wa malipo ni halali basi liwekwe tangazo na wananchi wapate risiti.
Je kama si halali jambo kama hili linafanyika ndani ya chombo cha usalama je kwingine si balaa? Ni kwamba PCCB wanaogopa kuingilia police?
Hii nimeikuta nilipokuwa safarini Mwz huku Dar sijaona.
Kero iliyopo Police cetral
NYAMAGANA Mwanza ni pale inapotokea copy ya loss report office ya OCD inaposainiwa na kugongwa muhuri. Bila 1000/=hupati hiyo loss report kwa kila ulichopoteza.
Je hii ni halali na imehalalishwa maana fedha inakusanywa waziwazi na kuna droo yake. Kama huu utaratibu wa malipo ni halali basi liwekwe tangazo na wananchi wapate risiti.
Je kama si halali jambo kama hili linafanyika ndani ya chombo cha usalama je kwingine si balaa? Ni kwamba PCCB wanaogopa kuingilia police?
Hii nimeikuta nilipokuwa safarini Mwz huku Dar sijaona.