NY Taxi Driver Returns $21,000 Left In Cab

NY Taxi Driver Returns $21,000 Left In Cab

Nafikiri umesha mwelewa kuwa filosofia yake ni kutoka kwa mama yake kama alivyo thibitisha mwenyewe kwa New York Post. Hakuna hata sehemu moja katika hii habari tunasoma kuwa alijifunza kufanya mazuri kupitia Koran, na/au Allah na/au Muham-mad, zaidi ya kuwapiga chenga ya mwili na kumsifia mama yake kipenzi.

Mama yake ni mzazi bora, kwasababu aligundua kuwa, kama angetumia Koran kumfunza mwanae, basi leo hii huyu jamaa angetokomea na fweza za watu na kuzituma kwa matalabani.

Hii habari inatia moyo na kuonyesha kuwa, kumbe Waislam wanaweza kuwa watu wazuri kama watawasikiliza Mama zao ambao wananyanyaswa na Allah na kuto pewa hata ahadi moja na allah, kwamba, baada ya kifo ni nini watapewa au pata. Nani kama MAMA?

Yaani una maana wanawake hawajaahidiwa thawabu yoyote na allah?
Mbona huu ni ubaguzi wa waziwazi?
 
Yaani una maana wanawake hawajaahidiwa thawabu yoyote na allah?
Mbona huu ni ubaguzi wa waziwazi?


Mkuu wangu, mimi binafsi baada ya kuisoma Koran na Hadeeth kwa undani, mpaka hii leo, sijaona hata ahadi moja walio pewa wanawake wa Kiislamu.

Zawadi na ahadi kedekede wamepewa Waume zao ambao wameahidiwa mpaka mabikira 72, wamepewa ardhi tena yenye mto, wamepewa vivulana 28 navyo ni vibikira, wamepewa nguvu ya ngono mara 100 kwa siku.

Mimi nashangaa sana kusikia na kuona bado kuna Wanawake Waislamu. Hivi ni faida gani watapata na/au ni nini allah amewa-ahidi kuwa watapata baada ya kifo? Maana ahera si yao bali ni danguro la allah na wanaume wake.
 
Ajaabu kweli!! Au: anayeshangaa hajaelewa mengi kuhusu dini ile?

Inaonekana wewe unazijuwa ahadi kedekede walizo pewa wakina mama wa kiarabu I mean Kisilamu. Hebu tuletee tuzione ahadi za allah kwa akina mama wa kisilamu.
 
Inaonekana wewe unazijuwa ahadi kedekede walizo pewa wakina mama wa kiarabu I mean Kisilamu. Hebu tuletee tuzione ahadi za allah kwa akina mama wa kisilamu.

Ahadi za Allah si supu yangu sijali sana. Ila sema wewe tu:
namna gani mamilioni 600-700 Wanawake duniani Waislamu? (tena wanazidi kuongezeka... - hata kama ni kidemografia tu)

Mtaalamu ni wewe, sivyo?
Eleza!
 
Ahadi Allah si supu yangu sijali sana. Ila sema wewe tu:
namna gani mamilioni 600-700 Wanawake duniani Waislamu? (tena wanazidi kuongezeka... - hata kama ni kidemografia tu)

Mtaalamu ni wewe, sivyo?
Eleza!

Wamelamba galasa.

 
MaxShimba--- Nimekuweka na wewe kwenye kundi lile lile la wale wa kwenda MILEMBE in this year 2010, together with mama Simba.Nafikiri akili yako haiko kichwani inawezekana ipo matakoni.poole.
NA WEWE PIA NI GALASA.
 
MaxShimba--- Nimekuweka na wewe kwenye kundi lile lile la wale wa kwenda MILEMBE in this year 2010, together with mama Simba.Nafikiri akili yako haiko kichwani inawezekana ipo matakoni.poole.
NA WEWE PIA NI GALASA.

Yesu Kristo akusamehe kwasababu hujuwi usemalo.

Yesu loves you, so do I.

Kazi yangu mwaka huu ni kuwaombea wote ili muweze kupata neema ya Yesu Kristo, na kujua kweli iliyo ndani yake.

 
Ahadi za Allah si supu yangu sijali sana. Ila sema wewe tu:
namna gani mamilioni 600-700 Wanawake duniani Waislamu? (tena wanazidi kuongezeka... - hata kama ni kidemografia tu)

Mtaalamu ni wewe, sivyo?
Eleza!

Wengi wa wanaojua wanaendelea kuwa waisilamu kwa sababu ya kushurutishwa,
Wanaojua ukweli kwamba hakuna ahadi yoyote kwao mbinguni wanataka kutoka katika uisilamu lakini wakithubutu kufanya hivyo wanapigwa sana na kuuliwa!

Nasikia haya mauaji mumeyapa jina la honour Killing!
 
These guys are double standard!

Sawa , huenda huyu mtu ni kweli Muislamu, na amefanya jambo la kiungwana.

Nafurahi kuwa mnayajua matendo mema ya mtu, ambapo kwa Wakristo ndiyo jadi yetu.

Lakini mbona nyienyie mnashabikia na kufadhili mauaji(mass killings) kwa kutumia mabomu na majambia?
 
Huu ni ucha Mungu wa hali juu sana!!wachache sana kama si hakuna hasa huku nchi masikini.....
 
Zamani Zanzibar baada ya mapinduzi tu mtu akiokota pochi lazima ataipeleka polisi. Nasema zamani. Enzi za marehemu Baba yetu Abeid Amani Karume. Siku hizi thubutu
 
Back
Top Bottom