Nusura niwe muuaji!

Nusura niwe muuaji!

Basi lichukulie Kama funzo, next time uki ingia partnership Jitahidi uwe na nyaraka za kisheria.

zenye kuonyesha nani ana fanya nini, kaweka Nini, majukumu yake ni nini na iki tokea faida au hasara matokeo yake ni nini.
Mkuu panapo dhulma nyaraka za kisheria nadhani zina ukomo wake, binafsi Kuna mtu namdai pesa ambazo nilimpa ktk mazingira haya ya mleta mada, bahati nzuri nimemshinda mahakamani na kaamriwa alipe...lkn huyu bwana anachomiliki ni mshahara wake ambao ni kiduchu tu, Hana cha maana kingine...ktk mazingira ya namna hii bado najiuliza haki yangu naipataje...mkuu@Intelligent businessman: tia neno hapa tafadhali
 
Mambo ya hela yanasababisha utengano sana kwenye jamii pamoja na mauaji... Kuna mbwa mmoja ilibaki kidogo nimchomee ndani bahati yake niliwahi kwa mwanasaikolojia

Mambo ya hela sio ya kuchukulia kirahisi rahisi!! Inaumiza,inakera halafu automatic inatengeneza kisasi inabaki utekelezaji!
 
Mkuu panapo dhulma nyaraka za kisheria nadhani zina ukomo wake, binafsi Kuna mtu namdai pesa ambazo nilimpa ktk mazingira haya ya mleta mada, bahati nzuri nimemshinda mahakamani na kaamriwa alipe...lkn huyu bwana anachomiliki ni mshahara wake ambao ni kiduchu tu, Hana cha maana kingine...ktk mazingira ya namna hii bado najiuliza haki yangu naipataje...mkuu@Intelligent businessman: tia neno hapa tafadhali
Tena kwenye hicho kijimshahara kiduchu anakuahidi atakulipa kidogokidogo🤓🤓🤓🤓
 
Bora kumtia kilema kumuua kabisa inaharibu maisha yako mkuu utabaki unaishi Kama digidigi!
Kuliko mtu akutese kwa mambo ya kitoto. Aliyoyaamua yeye kitoto kwa sababu za kitoto, muhrmko na tamaa .una mmaliza tu
 
Kuliko mtu akutese kwa mambo ya kitoto. Aliyoyaamua yeye kitoto kwa sababu za kitoto, muhrmko na tamaa .una mmaliza tu
Matokeo baada ya kummaliza ndo kipengele,ukishammaliza tu hasira na uchungu wote unaisha yanabaki majuto!!
 
nahisi hii ya leo wameweka na tangawizi kwa mbali. Any way, naomba mniongeze sukari kidogo..
 
Mkuu panapo dhulma nyaraka za kisheria nadhani zina ukomo wake, binafsi Kuna mtu namdai pesa ambazo nilimpa ktk mazingira haya ya mleta mada, bahati nzuri nimemshinda mahakamani na kaamriwa alipe...lkn huyu bwana anachomiliki ni mshahara wake ambao ni kiduchu tu, Hana cha maana kingine...ktk mazingira ya namna hii bado najiuliza haki yangu naipataje...mkuu@Intelligent businessman: tia neno hapa tafadhali
Mkuu kama niki kwambia uni lipe kiutaratibu uka goma, kisheria still una nisumbua.
shibela

Basi nageuka upande wa 2, Wana sema "big fvck small" naenda kwa mtu aliye mkubwa kiuwezo zaidi yetu wote.

Ina weza kuwa kisheria, ki influence, power au hata kibabe (mambo ya ngumi hapa), so Kama nakudai 5m wewe usije shangaa una nilipa 7m mzee.
Grahams, Mshana Jr, Shimba ya Buyenze wata ongezea.
 
Mkuu kama niki kwambia uni lipe kiutaratibu uka goma, kisheria still una nisumbua.
shibela

Basi nageuka upande wa 2, Wana sema "big fvck small" naenda kwa mtu aliye mkubwa kiuwezo zaidi yetu wote.

Ina weza kuwa kisheria, ki influence, power au hata kibabe (mambo ya ngumi hapa), so Kama nakudai 5m wewe usije shangaa una nilipa 7m mzee.
Grahams, Mshana Jr, Shimba ya Buyenze wata ongezea.
Kama mdai wako Hana uwezo wa kukulipa, Sheria itaamua kama ana asset basi ziuzwe ili kufidia deni

Ama kama anamiliki mshahara pekee basi mnaweza kutengeneza timeframe ya yeye kurudisha kidogo kidogo hadi deni liishe.

Jambo la kuepuka ni kudhurumu maisha ya mwenzio hata kama amekudhurumu milioni ngapi

Mara nyingi ukimwaga damu ya mtu hata kama itakuwa kisiri Siri basi lazima itakuja kukulilia usiku ukiwa umelala

Jambo lingine la kuepuka ni kumkabidhi mtu fedha/Mali bila kuandikishiana

Waswahili wanasema mali bila daftari huisha bila habari
 
Kama mdai wako Hana uwezo wa kukulipa, Sheria itaamua kama ana asset basi ziuzwe ili kufidia deni

Ama kama anamiliki mshahara pekee basi mnaweza kutengeneza timeframe ya yeye kurudisha kidogo kidogo hadi deni liishe.

Jambo la kuepuka ni kudhurumu maisha ya mwenzio hata kama amekudhurumu milioni ngapi

Mara nyingi ukimwaga damu ya mtu hata kama itakuwa kisiri Siri basi lazima itakuja kukulilia usiku ukiwa umelala

Jambo lingine la kuepuka ni kumkabidhi mtu fedha/Mali bila kuandikishiana

Waswahili wanasema mali bila daftari huisha bila habari
Kuua sijui, ila kulipa uta lipa.
 
Kama mdai wako Hana uwezo wa kukulipa, Sheria itaamua kama ana asset basi ziuzwe ili kufidia deni

Ama kama anamiliki mshahara pekee basi mnaweza kutengeneza timeframe ya yeye kurudisha kidogo kidogo hadi deni liishe.

Jambo la kuepuka ni kudhurumu maisha ya mwenzio hata kama amekudhurumu milioni ngapi

Mara nyingi ukimwaga damu ya mtu hata kama itakuwa kisiri Siri basi lazima itakuja kukulilia usiku ukiwa umelala

Jambo lingine la kuepuka ni kumkabidhi mtu fedha/Mali bila kuandikishiana

Waswahili wanasema mali bila daftari huisha bila habari
Mkuu tunachokizungumzia ni kwamba mdaiwa keshaamriwa na mahakama alipe, shida iliopo mdaiwa Hana asset ya maana zaidi ya mshahara kiduchu anaomiliki..je zipi ni procedure za kumbana angalau alipe Kwa huo huo mshahara mdogo anaomiliki? Grahams elimu kidogo mkuu.
 
Mkuu tunachokizungumzia ni kwamba mdaiwa keshaamriwa na mahakama alipe, shida iliopo mdaiwa Hana asset ya maana zaidi ya mshahara kiduchu anaomiliki..je zipi ni procedure za kumbana angalau alipe Kwa huo huo mshahara mdogo anaomiliki? Grahams elimu kidogo mkuu.
Kuhusu mshahara wake kuwa mdogo haihusiani na madai yako

Muhimu wekeni terms za yeye kukulipa kidogo kidogo

Hata kama atakulipa shilingi 100,000 Kila Mwezi

Muhimu deni lako alipe lote
 
Mkuu tunachokizungumzia ni kwamba mdaiwa keshaamriwa na mahakama alipe, shida iliopo mdaiwa Hana asset ya maana zaidi ya mshahara kiduchu anaomiliki..je zipi ni procedure za kumbana angalau alipe Kwa huo huo mshahara mdogo anaomiliki? Grahams elimu kidogo mkuu.
Fata nilicho kuambia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom