Nursing in diploma natafuta tempo

Uko sahihi kabisa ukizingatia kwenye hii fani kuna mawasiliano mengi ni kingereza katika utoaji...
 
Wasiwasi wangu huyu muhitimu atageuza hesabu za dawa (badala ya 1×3 yeye atafanya 3×1)
,ok,nimewaelewa wote,mlio sema sifai ni sawa,ila niwashukuru kwa mawazo yenu,alie soma how to solve conflict .hawezi bishana na nyie nafanya win_lose,,ila shukran sana wadau asanteen
 
Acheni upuuzi wa wengi wa waafrica.....mushaelewa ana diploma ya uuguzi anatafuta kazi msaidieni huwezi achaaa,munakua kama wachawi...kukosoa tuu.
Asante ,kwa kunielewa daima mungu akulinde na akuzidishie katika uelewa wako#congrat
 
Huyu ni kilaza naongea mm nikiwa kama mkufunzi.
 
Ilipaswa umuelekeze na sio kumkejeli.....bado anasafari ndefu sanaa huyo kijana....be care not care to be
Wewe ndo uache upuuzi, unaona ni msomi wa kawaida hajui hata alichosomea. Mtu kasomea digrii ya manunuzi na ugavi anatwambia amesomea "Procurement and Supply in Bachelor?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…