Kama nataka 1,000/= iende JF basi bei ingebidi iwe 15,300 + 1,000 = 16,300/=, na sio 18,000/=. Vinginevyo ni kama unakuwa punished kwa kuchangia 1,000/= kwenda JF, manake unalipa 2,700/= zaidi!...hahahahhahaa
Halafu mchakato wenyewe wa kununua kitabu ni complicated utadhani unanunua manual ya ku enrich Uranium! Mwanakijiji umekaa nje muda mreeefu lakini bado haijakusaidia, mteja hatakiwi kupata ki stress cha kichwa wakati ananunua, we ushapokea hela ya mtu halafu unataka akutumie risiti ndio utoe mali ya mteja, kwani hela yako hujapata??? Wewe ndio unatakiwa utoe risiti ukipata hela yangu, sio mimi mteja nikupe wewe risiti!!!! Mambo ya biashara za Kiswahili hizi...aaaah!!!