Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,248
Mpigie simu Makonda atanunua hilo gorofa.
Lipo vizuri ...vp unaweza kulituma dar tuongee viasharaLipo kilimahewa mwanza eneo lina ukubwa wa 30 x 15.lipo pembezoni kwa barabara ya vumbi inayoingilia Big bite.View attachment 471493
Ohooooo!!!Kaka hili ungewauzia Tanroads
.. sisi wanyonge lazima tutavunjiwa kupisha barabara..
Lina ramani kweli? maana naona ni tajiri alikuwa anasema hapa fanya hivi.....hapa weka chumba.....




Ohoooo!!!Hapo si wana mpango wa kunyoosha barabara?
Hiyo nyumba uliyoiita ghorofa inatakiwa ipishe barabara, mbona unataka kuingiza watu chaka?
Akikujibu na mm nitaingia ubiaLipo vizuri ...vp unaweza kulituma dar tuongee viashara