crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,247
- 888
NUKUU ZA LEO;
1. “Madaraka hulevya, lakini madaraka makubwa hulevya chakari.” Lord Acton.
2. "Binadamu wote ni sawa, lakini baadhi ya binadamu wana usawa zaidi kuliko wengine" George Orwell.
3. "Sayansi haisemi uongo, lakini uongo unaweza kusemwa kwa sayansi" Richard Feynman.
4. "Jifanye kama mtu mwenye nguvu unapokuwa dhaifu, na jifanye dhaifu unapokuwa na nguvu" Sun Tzu.
5. "Sheria mbovu huundwa kutokana na hofu ya watawala kupoteza mamlaka" Sarah Vowell.
6. "Wanaoweza kukufanya uamini upuuzi, wanaweza pia kukufanya utende ukatili." Voltaire.
7. "Tofauti ya busara na upumbavu ni kwamba, mtu mwenye busara anaweza kujifunza kwenye swali la mpumbavu lakini mpumbavu hawezi kujifunza kwenye jibu la mwenye busara." Bruce Lee.
8. “Siasa ni sanaa ya kufanya watu waamini kuwa wanashiriki maamuzi lakini kumbe tayari yalishafanywa.” Noam Chomsky.
9. “Demokrasia ni mfumo ambao watu huchagua nani awadanganye kwa miaka michache ijayo." George Shaw.
10. “Mtu akipoteza uwezo wake wa kuuliza maswali, tayari ameshapoteza uhuru wake.” Arundhati Roy.
11. "Uongozi si cheo, bali uwezo wa kuhimili lawama bila kupoteza mwelekeo. Mtu anayeshindwa kuhimili lawama hafai kuwa kiongozi" John Maxwell.
12. "Uongo ni silaha ya kwanza ya dikteta, na ukimya ni silaha ya mwisho ya raia. Dikteta haogopi kelele za raia bali ukimya wao" Isaac Asimov.
13. "Wakati wa giza, hata mshumaa mdogo huonekana kama jua." Desmond Tutu
14. Tofauti kati ya akili na hekima ni kwamba, akili ni kujua nini cha kusema, hekima ni kujua lini useme na wapi pa kusemea." Confucius.
15. “Thamani ya juu kabisa ya uhuru ni uwezo wa raia kuhoji mamlaka. Kama unaogopa kuhoji, basi ujue bado upo kwenye ukoloni.” Carl Sagan.
1. “Madaraka hulevya, lakini madaraka makubwa hulevya chakari.” Lord Acton.
2. "Binadamu wote ni sawa, lakini baadhi ya binadamu wana usawa zaidi kuliko wengine" George Orwell.
3. "Sayansi haisemi uongo, lakini uongo unaweza kusemwa kwa sayansi" Richard Feynman.
4. "Jifanye kama mtu mwenye nguvu unapokuwa dhaifu, na jifanye dhaifu unapokuwa na nguvu" Sun Tzu.
5. "Sheria mbovu huundwa kutokana na hofu ya watawala kupoteza mamlaka" Sarah Vowell.
6. "Wanaoweza kukufanya uamini upuuzi, wanaweza pia kukufanya utende ukatili." Voltaire.
7. "Tofauti ya busara na upumbavu ni kwamba, mtu mwenye busara anaweza kujifunza kwenye swali la mpumbavu lakini mpumbavu hawezi kujifunza kwenye jibu la mwenye busara." Bruce Lee.
8. “Siasa ni sanaa ya kufanya watu waamini kuwa wanashiriki maamuzi lakini kumbe tayari yalishafanywa.” Noam Chomsky.
9. “Demokrasia ni mfumo ambao watu huchagua nani awadanganye kwa miaka michache ijayo." George Shaw.
10. “Mtu akipoteza uwezo wake wa kuuliza maswali, tayari ameshapoteza uhuru wake.” Arundhati Roy.
11. "Uongozi si cheo, bali uwezo wa kuhimili lawama bila kupoteza mwelekeo. Mtu anayeshindwa kuhimili lawama hafai kuwa kiongozi" John Maxwell.
12. "Uongo ni silaha ya kwanza ya dikteta, na ukimya ni silaha ya mwisho ya raia. Dikteta haogopi kelele za raia bali ukimya wao" Isaac Asimov.
13. "Wakati wa giza, hata mshumaa mdogo huonekana kama jua." Desmond Tutu
14. Tofauti kati ya akili na hekima ni kwamba, akili ni kujua nini cha kusema, hekima ni kujua lini useme na wapi pa kusemea." Confucius.
15. “Thamani ya juu kabisa ya uhuru ni uwezo wa raia kuhoji mamlaka. Kama unaogopa kuhoji, basi ujue bado upo kwenye ukoloni.” Carl Sagan.