Kurunzi JF-Expert Member Jul 31, 2009 9,271 9,900 Jun 24, 2012 #1 Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM. - JOHN MNYIKA.
Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM. - JOHN MNYIKA.
Teacher1 JF-Expert Member Jan 29, 2011 333 149 Jun 24, 2012 #2 "Matatizo yanakuja kwasababu akili ndogo inataka kutawala akili kubwa" mch. Msigwa
Teacher1 JF-Expert Member Jan 29, 2011 333 149 Jun 24, 2012 #3 "Profesors mzima wa CCM anaongea kama darasa la pili" Mch. Msigwa
Asterisk JF-Expert Member Jun 1, 2012 214 50 Jun 24, 2012 #4 "Mapato Ya nchi kutegemea bia, Je watu wote wakiokoka itakuaje" -Kafulila D.
N ndomyana JF-Expert Member Jan 24, 2012 5,511 2,034 Jun 24, 2012 #5 Hatuombei uchumi, tunaombea wazinzi -msigwa