Dr Salla
Member
- Aug 22, 2013
- 16
- 22
"Ukiona Kiongozi anashindwa Kuwajibika ujue kwamba, huyo Kiongozi ni dhaifu, na yupo kwa ajili ya Maslahi Binafsi bila ya Kujali Maslahi Mapana ya Umma"
********************************
Pia Ukiona Wanaopaswa kumuwajibisha Kiongozi fulani hawamuwajibishi, ujue kwamba, Wawajibishaji ni dhaifu, na wao wapo kwenye kundi lile lile ambalo linapaswa kuwajibishwa. Inapofikia hatua ngumu kama hii, ni lazima Umma Uchukue hatua Stahiki.
********************************
Pia Ukiona Wanaopaswa kumuwajibisha Kiongozi fulani hawamuwajibishi, ujue kwamba, Wawajibishaji ni dhaifu, na wao wapo kwenye kundi lile lile ambalo linapaswa kuwajibishwa. Inapofikia hatua ngumu kama hii, ni lazima Umma Uchukue hatua Stahiki.