mbinguni
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 2,767
- 1,068
"Hatufurahishwi na vurugu zilizojitokeza, hasa hatua hii ya kuua watu na kuharibu mali za viongozi pamoja na serikali, lakini CCM itambue kuwa ndicho chama dola tulichokichagua kituongoze, kama viongozi wake wanatukimbia inaleta picha gani?" alihoji mwananchi mmoja.
Source:Tanzania Daima 28/1/2013
Source:Tanzania Daima 28/1/2013