Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,848
- 58,535
Chochote ukiwa na maana gani masterHeshima unayoilinda haina maana kama hauna chochote...
AHSANTE
Heshima pia inaweza leta chochote mkuuHeshima unayoilinda haina maana kama hauna chochote...
AHSANTE
Haya mambo ya hate kushikwa tako ni ideologies mmelishwa kama mlivolishwa hizo dini za kitumwaFafanua kidogo mkuu umeshanichanganya!! Mimi heshima yangu pekee ninayoilinda ni kutokushikwa tako Hadi siku nakufa, Sasa hapo kwenye chochote hebu tuwekane sawa unamaana gani?
Ohoooo! Kwa hiyo niwe tayari kuvunjiwa heshima yangu kisa Sina chochote au sio mwanetuHaya mambo ya hate kushikwa tako ni ideologies mmelishwa kama mlivolishwa hizo dini za kitumwa
Hakuna binadamu anazaliwa na hizo hates zote ni za kurithi
😀😀Nina shida na tomato mkuu nakupataje ?
Heshima unayoilinda haina maana kama hauna chochote...
AHSANTE
Heshima huleta hicho chochote ni muhimu kuilindaHeshima unayoilinda haina maana kama hauna chochote...
AHSANTE
HaunaC
Chochote ukiwa na maana gani master
Kama huna chochote haina maanaHeshima pia inaweza leta chochote mkuu
Haya sema hivo hivo ila ukweli upo pale pale kama hauna chochote hiyo.heshima haina maana.Nyie ndo mnaweza kufanya lolote ili mpate hela. Mnaweza hata kuuza miili yenu nyie.
Heshima ainunuliwi ni wewe mwenyewe unavyo jiwekea ndani ya jamii
Unajua maana ya heshima lakini...Fafanua kidogo mkuu umeshanichanganya!! Mimi heshima yangu pekee ninayoilinda ni kutokushikwa tako Hadi siku nakufa, Sasa hapo kwenye chochote hebu tuwekane sawa unamaana gani?
Ana shida jamaaHaya mambo ya hate kushikwa tako ni ideologies mmelishwa kama mlivolishwa hizo dini za kitumwa
Hakuna binadamu anazaliwa na hizo hates zote ni za kurithi
Ujaona vya kuongea mpaka usemee kushikwa takoOhoooo! Kwa hiyo niwe tayari kuvunjiwa heshima yangu kisa Sina chochote au sio mwanetu