Nukuu ya Anna Makinda

Nukuu ya Anna Makinda

mbinguni

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
2,767
Reaction score
1,068
"Mmechaguliwa na maelfu ya watanzania kuingia bungeni, lakini mambo mnayofanya hayaendani kabisa na hadhi yenu," alisema Makinda huku baadhi ya wabunge wakimzomea na wengine kushangilia
Source:Tanzania Daima 6/2/2013
 
"Mmechaguliwa na maelfu ya watanzania kuingia bungeni, lakini mambo mnayofanya hayaendani kabisa na hadhi yenu," alisema Makinda huku baadhi ya wabunge wakimzomea na wengine kushangilia
Source:Tanzania Daima 6/2/2013

Kila mara huyu mama ni kituko bungeni. "Thenki yu veri machi"
 
Sasa anajisema mwenyewe au uanausema upinzania?Tunakazi kwelikweli huko mbele ya safari
 
Tanganyika yetu iko icu kwa sasa.
 
Labda anawasema hawa

mk.JPG




 
hahahahahahahahaha,amelikoroga mwenyewe alinywe sasa mizani imkataa kubalance,walikuja na vikanuni CDM wakaenda kuzisoma na kuzielewa vizuri sasa maweacha kusema kanuni haziruhusu wameanza kutumia ubabe wa viti vingi bungeni,juzi nilimuona alivyokuwa anajibu alichouliza Mnyika u can see how despare is she usoni anavunja kanuni alafu anataka kutudanyanga kwamba anachosema ni sahii,shame on ua face
 
Huyu bi kiroboto ndo chanzo, bunge limekuwa kama jumba la sanaa!!!
 
Mambo yenye hadhi kwake ni ndiyo mzeee, wewe ni fara ndiyo mzee, niachie mkeo/mume wako ndiyo mzee
 
Hivi Mheshimiwa mama Makinda, baada ya Kustaafu utapenda ukumbukwe kwa lipi? I mean your legacy as a Speaker of our esteemed Parliament!
 
Mimi naomba hawa vipofu wa akili Makinda na Ndugai na yule mwenye kichwa kama korosho mabumbas waendelee kuchezea amani yetu maana inaonekana mawazo yao ni kwamba wapinzani wako pale peke yao kumbe wanauwakilisha umma ambao huwa unatetemeka kwa hasira kwa ujinga wanaoufanya mbele ya wapinzani!?

Naamini hawajui kuwa amani ya nchi hii ni pamoja na wao kuendesha bunge kwa ustaarabu na kuacha uhuru wa mawazo bila kuisaidia serikali ili iwajibike kwa wananchi wanaoiwezesha kuwa hapo ilipo!

Vipofu wa akili hawa kama hawataogopa kufanya uendawazimu ule bungeni wategemee mambo yatakayowafanya kujutia hivyo vitendo
 
"Mmechaguliwa na maelfu ya watanzania kuingia bungeni, lakini mambo mnayofanya hayaendani kabisa na hadhi yenu," alisema Makinda huku baadhi ya wabunge wakimzomea na wengine kushangilia

Hiyo kinga waliyonayo wakiwa ndani ya hilo jengo inawapa kiburi cha ajabu mpaka wanajiona kama wao ni miungu watu. MAKINDA, NDUGAI na wabunge wa CCM ndiyo wameliharibu bunge na wanachangia kwa kiasi kikubwa kudumaza maendeleo ya wananchi na Tanzania kwa ujumla.

Bora hivyo vikao vya bunge vingefutwa na hizo hela zinazotumika kugharamia hivyo vikao ikapelekwa vijijini kusaidia katika kuboresha huduma za jamii kama elimu, afya na maji.
 
SITTA atakumbukwa sana, huyu bibie Bunge limemshinda. Mimi nadhani hastahili kuongoza taasisi nyeti kama hii. Wanadhani "kuonekana" wabunge wengi wa upinzani wanasimama kuuliza maswali na kuchangia ndiyo usawa, je hayo wanayoyachangia yanachukuliwaje na serikali, kuna sababu gani ya kuchangia hoja nyingi za msingi and then zote zinapingwa kwa "KUSEMA TU" neno ndiyo au siyo, ujinga huu ndiyo unashusha hadhi ya bunge.

Wanaona aibu sana lakini kwa kuwa hawana vigezo wanalazimika kutumika kuulinda ufisadi, siwaelewi watu waliomchagua huyu mama kwa kweli.
 
"Mmechaguliwa na maelfu ya watanzania kuingia bungeni, lakini mambo mnayofanya hayaendani kabisa na hadhi yenu," alisema Makinda huku baadhi ya wabunge wakimzomea na wengine kushangilia"

Kwa kauli kama hiyo, hivi sasa alipaswa awe amekwisha achia ngazi ngazi "kung'atuka" kutoka katika kiti cha USPIKA.
Tafsiri rahisi ya maneno hayo ni kwamba BUNGE limemshinda, kwa kuwa yeye kama "KIRANJA MKUU", ameshindwa kudhibiti nidhamu ya BUNGE na WABUNGE.
Nina amaini kabisa kuna miongozo na sheria zilizo wazi juu ya wakiukaji wa vifungu hivyo, ila ile dhana ya kuogopana na kuoneana haya ndio imewafikisha hapo.
 
The worst speaker in this region of east and central africa probably in africa and world at large!!!!!
 
"Mmechaguliwa na maelfu ya watanzania kuingia bungeni, lakini mambo mnayofanya hayaendani kabisa na hadhi yenu," alisema Makinda huku baadhi ya wabunge wakimzomea na wengine kushangilia
Source:Tanzania Daima 6/2/2013

Ujumbe murua kabisa kwa wabunge wa CCM, ni kweli kabisa wanayoyafanya hayaendani na hadhi yao......safi sana MAKINDA endelea kuwafunda CCM mpaka wajute kukuchagua.
 
"Mmechaguliwa na maelfu ya watanzania kuingia bungeni, lakini mambo mnayofanya hayaendani kabisa na hadhi yenu," alisema Makinda huku baadhi ya wabunge wakimzomea na wengine kushangilia
Source:Tanzania Daima 6/2/2013


hadhi ipi makinda aliyokuwa akiizungumza?
 
Walizoea kuchezea kambi ya upinzani,safari hii inakula kwao.JANJAJANJA YAO KWISHA.
 
Back
Top Bottom