Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 4,176
- 5,599
Inawezekana mzee ni noma kwa nuclear kwa vitendo ndo maana analindwa na UN ili asifundishe hii kitu kwa wengine.
Mwingine alikuwa marehemu Pius Mwandu(R.I.P)
Mtaalam Pius Ngw'andu alikuwa ni mtaalam wa Biology na sio Physics na alistaafia Australia Kama sikosei.