Sawa boss nashukuruIngia www.tanmush.com
Ni kampuni iliyopo Mbeya nanenane. Lakink pia katika hii website utapata namba ya meneja na atakusaidia.
Uyoga hauna mbegu ila wewe kusanya matakataka tu weka sehemu moja ndani ya mwaka mmoja yakioza utauona uyoga
Onyo:
Unapokusanya sio kila siku una mwaga takataka ukishakusanya ya kutosha usiende kuongeza zingine tena.
Huyu ndio maskini ya mungu...hakuna analolijua...Uyoga hauna mbegu ila wewe kusanya matakataka tu weka sehemu moja ndani ya mwaka mmoja yakioza utauona uyoga
Onyo:
Unapokusanya sio kila siku una mwaga takataka ukishakusanya ya kutosha usiende kuongeza zingine tena.