hebu njoo tuongee uku mwenzangu eti shida nini unajua bado sielew! Shemej yang simwon popote yuko safe uko aliko?
Mwenzangu hata mi simwoni,apa ndo naelekea kituoni kutoa taarifa mana hata hali aliyoondoka nayo asubuhi siyo nzuri!
wahi mama utadaiwa wewe ujue, ikiwezekana peleka maomb kanisani maana mganga hajigangi..
Sawa shogaa nitafanya hivo,maskini mume wangu sijui nini kimemkumba jamani. Sijui ni mkono wamtu
jaman msije mkadhani ulikuwa ukwel no! ulikuwa utan
jaman msije mkadhani ulikuwa ukwel no! ulikuwa utan
Huwez kuweka utani wa kiivi
Acha kabisa lazima tuunde tume na upigwe faini
Umetushtua sana
Shem wangu ICHANA upo?Kaka yangu hajambo?Apigwe tu faini,naunga mkono hoja!
jaman msije mkadhani ulikuwa ukwel no! ulikuwa utan
10000% correct
pole sana best..
mbona anaukupa presha jaman
Usiogope na usiharakishe na wala usilazimishe, iachie moyo uamue wenyewe, atakuja tu na moyo utakwambia huyu ndiye katika hali ya amani kabisa!