Ukifika stand dodoma, uliza stend kuu ya daladala ya Jamatini. Hapo utapata daladala za kwenda chuo cha mipango. Pia hata ukipanda daladala za msalato au veyula utashukia kituo cha mipango. Chuo kipo barabarani kabisa. Nauli ya daladala ni tsh 300 na tax ni sh 6000. Ni bora uondoke ar trh 11, maana safar ni safar, hujui ya njiani. Guest jiran na mipango zipo ndio.