Nsumba Secondary School!-Mwanza

Sijasoma Nsumba ila hawa Braza angu kapita Hapo....Aseeh miaka ya 2005 km sikosei Vijana waifanya fujo hapo wapongo wakawadaka wa kutosha tu nimeingia BUTIMBA Magereza nakuta Vijana wamesweka mpaka Huruma....

KIMEO CHANGU
 
Enzi za mgomo huo mwaka huo nami nilikuwepo hapo Nsumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma Nsumba ila hawa Braza angu kapita Hapo....Aseeh miaka ya 2005 km sikosei Vijana waifanya fujo hapo wapongo wakawadaka wa kutosha tu nimeingia BUTIMBA Magereza nakuta Vijana wamesweka mpaka Huruma....

KIMEO CHANGU
Kweli hilo tukio lilitokea, nilipoenda kuanza shule nilikuta athari zake hasa kwenye uharibifu wa majengo hususani madirisha kuvunjwa vioo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…