NSSF PPF NHC VODACOM AIRTEL CRDB hawajashiriki usafi?

NSSF PPF NHC VODACOM AIRTEL CRDB hawajashiriki usafi?

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,080
Reaction score
12,300
Nilitegemea kuwaona wafanyakazi wa crdb Vodacom nssf ppf tra bandari trl wakiwa wamesheheni mafagio wakiwa sambamba na JPM samia au makonda lakini wapi nawaona bongo movie inamaana wameogopa kuchomwa ndani au wamesusa au kila mtu kafagia getini kwake.
 
Kwani watakuwa wamevunja sheria gani kwa kutoshiriki usafi? Wengine hata vyoo ndani mwenu hamjasafisha lakini mmepiga picha kibao leo kutaka sifa. Nakushauri tembelea ofisi za hayo mashirika uliyotaja halafu ujiulize usafi ni desturi au kupenda sifa. Form is temporary, but class is permanent
 
Kwani watakuwa wamevunja sheria gani kwa kutoshiriki usafi? Wengine hata vyoo ndani mwenu hamjasafisha lakini mmepiga picha kibao leo kutaka sifa. Nakushauri tembelea ofisi za hayo mashirika uliyotaja halafu ujiulize usafi ni desturi au kupenda sifa. Form is temporary, but class is permanent

Mbona wiki ya utumishi wa umma huwa wanabebelea mafulana na mabango kibao, leo hizo fulana hatuzioni? hata pasco mayalla simuoni kubebelea makamera.
 
Acha unafiki mleta mana we njoo hapa airtel morocco ujionee huu uzushi wa mitandao muuache
 
wew jamaa wa ajabu...kila mtu alifanya panapomzunguka....sasa wawe na hao viongozi wamekuwa walinzi?
tafuta mbunge wako!
vp wale viongozi wenu wa UKAWA, wako wapi?
 
wew jamaa wa ajabu...kila mtu alifanya panapomzunguka....sasa wawe na hao viongozi wamekuwa walinzi?
tafuta mbunge wako!
vp wale viongozi wenu wa UKAWA, wako wapi?

unikome mimi sitoki kaskazini.
 
Mbona huku TARIME MJINI wafanyakazi wa benki za CRDB,NMB wameshiriki kufanya usafi.
 
Nilitegemea kuwaona wafanyakazi wa crdb Vodacom nssf ppf tra bandari trl wakiwa wamesheheni mafagio wakiwa sambamba na JPM samia au makonda lakini wapi nawaona bongo movie inamaana wameogopa kuchomwa ndani au wamesusa au kila mtu kafagia getini kwake.

Majipu tarajiwa, wanajiandaa kukamuliwa
 
Tatizo mnakurupuka. Waraka wa ikulu wa kwanza na wa jana umeruhusu watu wafanye usafi maeneneo wanayoishi. Kwani hao uliowataja wanaishi ofisini? Au hata huko makwao ulitaka wavae sare? Wakati mwingine fikiria kwa kutumia ubongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom