JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 4,202
- 9,486
Unajua 1.4M ya mwaka 2015 ni Sh ngapi ya sasa?! Fanya hesabu rahisi tu, tafuta bei ya kilo1 ya nyama mwaka huo...utoe bei ya sasa ya kilo ya nyama...ndio utapata thamani ya hiyo hela kwa sasa ...Lugha chafu ya Nini sasa?
1.4m take home bado ni mshahara ndogo.
Ulifanyia maombi online au?ni lini ulifanya?
Baada ya kuweka kidole inabidi usubili hadi mwezi kisheriaJamani nimeweka kidole tarehe 10/8/2026 paka leo tarehe 18 sijafanikiwa kupata hela zangu jamani
Kwani inachukuwa siku ngapi nssf? jamani familia zetu zitakufa njaa mke na mtoto watakula nini Sina kipato naitegemea hiyo ndio ininyanyue tena
Naombeni msaada hela inachukuwa siku ngapi au kuna mtu aliyeweka kidole mwezi huu wa nane na tayari ameshapata mafao yake?
Nssf ya miner inafika mpaka milioni 80+ na huyo ni miner wa kawaida unashindwaje kutoa milioni upate mtonyoUnajua 1.4M ya mwaka 2015 ni Sh ngapi ya sasa?! Fanya hesabu rahisi tu, tafuta bei ya kilo1 ya nyama mwaka huo...utoe bei ya sasa ya kilo ya nyama...ndio utapata thamani ya hiyo hela kwa sasa ...
Siko hapa kuongelea hayo....nilishatoka huko kwenye kuajiriwa...niko kwingine
Na kwa sasa hao madriller wanalipwa mili 4-5 nett pay...
Usishangae miner kumhonga mtumishi wa nssf milioni...maana anapata mafao makubwa ndani ya miaka michache tu.
Nimechukua mafao nssf 2009, 2012 na 2015....
Miaka yote hiyo sikuwa na mkono wa birika, so chai kwangu ilimiminika vizuri tu...in less than 2 weeks...na nilikuwa mkoani!
Mafao yangu ya mwisho nilichukua within 7 days!...hapo hapo ubungo August 2015
Hii kitu ni janga kabisaaJamani nimeweka kidole tarehe 10/8/2026 paka leo tarehe 18 sijafanikiwa kupata hela zangu jamani
Kwani inachukuwa siku ngapi nssf? jamani familia zetu zitakufa njaa mke na mtoto watakula nini Sina kipato naitegemea hiyo ndio ininyanyue tena
Naombeni msaada hela inachukuwa siku ngapi au kuna mtu aliyeweka kidole mwezi huu wa nane na tayari ameshapata mafao yake?
Upo sahihi ila vaa viatu vya mleta mada, una uhitaji wa pesa alafu huna namna nyingine ya kupata zaidi ya hiyo ukiambiwa ufanya namna kidogo ili wakuharakishie jambo lako utaacha?Mimi sitoi na watanilipa. Mimi huwezi kunihudumia kama hujavaa kitambulisho.
Nafikiri kunashida mahala kwenye mitandao ya Serekali.Last time nilichukua mafao yangu mkoa x... kulikuwa na hela ndogo 16m+ ilichukua kama siku 16 za kazi nikaona meseji na sikutoa chochote ila za zamani nilitoa ya maji 😀
Bado kabisa.Mkuu hela zimeshaingia sio...?
Bado kabisa.
[/QUOTE
Noma sana ila mwezi bado haujapita.